Kisumu vs Mwanza

Years back nilishalizungumzia hili..

Tanzania weka nyumba kama hizo na hawatajisumbua kununua unless ziwe na bei ndogo sana au la watu wanunue ili wazipangishe kwa wengineo hasa wanaoanza maisha (this is mostly out of DAR). Kuna perception low sana juu ya kuishi katika gated communities Tz na ndio maana wengi huamua kujenga wenyewe. It feels great to live in a house that feels like a home to your every need with a REAL PRIVACY.

Gated communities zipo vizuri visually ila satisfaction ni ndogo. Bad enough in Tz , estate planning is somehow low and therefore you may find streets full of Good & standard houses without the proper planning which makes it alittle visually attractive but Trust me, these people enjoy their settlements to the maximum
Unaongea as if tuko 1970s era's
Wake up.
Dunia inabadilika.
 
Unaongea as if tuko 1970s era's
Wake up.
Dunia inabadilika.
Dunia inabadilika ndio ila ujue tu hata new york watu wanajenga mansion zao ila mpaka uwe na hela maana maeneo n ghali ko wale wanaonunua na kupanga apartments kule mostly wanauwezo ndio maana ukiingia mtandaoni mtoto akimzawadia nyumba mzazi wake wanaona n big thing kwa sababu ya maeneo ni ghali kumilikiwa kirahisi ila tz na kenya tz ardhi n bei chee na haimilikiwi na watu wachache na pia ni kubwa mnoo ivo watu kujenga n issue ndogo kuliko kununua apartments maana kuna arthi mpaka sqm 1 n 5000 au 4000 sawa na 200 ya ksh ila kenya arthi n ghali ivo njia nyepesi ya mtu nikununua apartments sema tu kinachoharimu fashion ya settlement ya tz n kutokupangiliwa
 
Kisumu City
FB_IMG_15682041485141113.jpeg
FB_IMG_15682043731832836.jpeg
FB_IMG_15681640801545958.jpeg
 
Unaongea as if tuko 1970s era's
Wake up.
Dunia inabadilika.
Do you even understand the meaning of DIVERSITY.. we can't all think alike and live as westeners to feel civilised. We have our own way of living and as an intellectual (only if you really are) you should understand that culture is something that is nurtured to guide a society based on it's own NATURE and NEEDS.
 
Back
Top Bottom