Kistaarabu na kiafya bao mwisho ngapi?

Kistaarabu na kiafya bao mwisho ngapi?

Kiwango chochote mwili ukitakacho, mpaka itakapofikia mwili unataka lakini nafsi imekuwa dhaifu
 
Itategemea na mvuto wa mwanamke, kama wa ukweli, msafi na anajituma unajitungua hata kumi, haina formula kaka

Hahaaa mkuuu hata ungekua kama simba na hata na viagra juu hiyo idadi huweziiii
 
Kiwango cha mapenzi au kujamiiana kipo kwani kunafaida na hasara ya kujamiiana.
kiwango ni tatu kushuka chini hiyo ni kiaaramu na kiafya zaidi kwani hata wataaramu wameweka kondo ngapi katika pakti .
FAIDA YA KUFANYA KWA KIWANGO;
1; Hufanya muwe na uwezo wa haraka kufikiri mambo yenu kwani mzunguko wa damu huchangamka.
2; Hupunguza hasira na tamaa ya kukutana na mpenzi wako mara kwa mara na hata mwanamke mwingine.

HASARA ZAKE;
1; Uwezo wa kufikiri mabo mengine na jinsi gani ya kuongeza uchumi wako hupungua.

2; Tamaa ya kujamiiana na watu tofauti huongezeka na hata kukupelekea usiangalie rika na umbo gani mwili wako unhitaji na
hatima ya yote ni magonjwa ni si raha tena.

Cha msingi kupunguza papara ya mapenzi unapokuwa uwanjani, kucheza na hisia za mwenza wako na sio hisia zako, hakikisha unamfikisha kileleni mweza wako, kabla ya yote maandalizi muhimu. Kama hatumii vishawish vyovyote yaani dawa za nguvu hatohitaji zaidi baada ya bao tatu.

sasa ndugu hizo tatu ni kwa siku ama kila mnapofanya? coz wengine 3 kulala 3 kuamka au usiku mpaka asubuhi jumla zaweza kuwa 7.3/4 wakat wa kulala 1 usiku wa manane 2 asubuhi..hapo vip?
 
Kwanza unganisha 2 in 1,endelea sasa mpk pooh iombwe
 
ukitaka unaweza hata ukayaunganisha na kuyachuruzisha kama bomba linalovuja...
 
Kuhoa kuna raha yake.....!!!lakini usikubali kukalibisha matatizo utachukia kuhoa.
 
sasa ndugu hizo tatu ni kwa siku ama kila mnapofanya? coz wengine 3 kulala 3 kuamka au usiku mpaka asubuhi jumla zaweza kuwa 7.3/4 wakat wa kulala 1 usiku wa manane 2 asubuhi..hapo vip?
dah..!!kwahiyo kwa siku unameza kama lita moja ya manii,vipi huwaga hayachuruziki kutoka kipindi uko hata job?ama we huvaa pampas?
 
Back
Top Bottom