Kistaarabu na kiafya bao mwisho ngapi?

Kistaarabu na kiafya bao mwisho ngapi?

Future president

Senior Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
144
Reaction score
39
Wadau hivi katika kuduu unashauriwa bao mwisho ngapi? Maana kuna mwanamke jana amening'ang'ania mpaka bao tatu bado akawa anataka tena, Mimi miguu ikaanza kutetemeka ikabidi nipige la nne.

Mwisho nikawa hoi,usingizi hapo hapo,hata sikujua ametoka muda gani.
je kiafya na kistarabu ni bao ngapi zinatakiwa?
 
Itategemea na mvuto wa mwanamke, kama wa ukweli, msafi na anajituma unajitungua hata kumi, haina formula kaka
 
wadau hivi katika kuduu,unashauriwa bao mwisho ngapi?mana kuna limama jana limening'ang'ania mpaka bao tatu,sasa likawa linataka tena,mimi mguu ikaanza kutetemeka,ikabidi nipige la nne,mwisho nikawa hoi,usingizi hapo hapo,hata sikujua limetoka muda gani,je kiafya na kistarabu ni ngapi?

piga 1 x 2 daily
 
Mambo ya kupimiana sio ishu mpeeee, mpeeee we mpeee tu hadi akimbie dushe!!!
 
Dawa usikojoe mwanzo mwisho hakuna kupiga bao mwenyewe ataomba poooooh!
 
Wadau hivi katika kuduu unashauriwa bao mwisho ngapi? Maana kuna mwanamke jana amening'ang'ania mpaka bao tatu bado akawa anataka tena, Mimi miguu ikaanza kutetemeka ikabidi nipige la nne.

Mwisho nikawa hoi,usingizi hapo hapo,hata sikujua ametoka muda gani.
je kiafya na kistarabu ni bao ngapi zinatakiwa?

Na wewe uache kula kiepe..
Ungekuwa umegonga dona hapo mbona angekimbia mwenyewe!!
 
wanaume acheni ubinafsi badala ya kuwaza mtawafikishaje wake zenu kileleni mnawaza kujikunja wenyewe tu,eti 10 si utakuwa unatoa hewa tu hata ukimaliza.
 
Sijawahi kupata anaetaka zaidi ya tatu, wengi wakifika hapo wananikimbia
 
Kiwango cha mapenzi au kujamiiana kipo kwani kunafaida na hasara ya kujamiiana.
kiwango ni tatu kushuka chini hiyo ni kiaaramu na kiafya zaidi kwani hata wataaramu wameweka kondo ngapi katika pakti .
FAIDA YA KUFANYA KWA KIWANGO;
1; Hufanya muwe na uwezo wa haraka kufikiri mambo yenu kwani mzunguko wa damu huchangamka.
2; Hupunguza hasira na tamaa ya kukutana na mpenzi wako mara kwa mara na hata mwanamke mwingine.

HASARA ZAKE;
1; Uwezo wa kufikiri mabo mengine na jinsi gani ya kuongeza uchumi wako hupungua.

2; Tamaa ya kujamiiana na watu tofauti huongezeka na hata kukupelekea usiangalie rika na umbo gani mwili wako unhitaji na
hatima ya yote ni magonjwa ni si raha tena.

Cha msingi kupunguza papara ya mapenzi unapokuwa uwanjani, kucheza na hisia za mwenza wako na sio hisia zako, hakikisha unamfikisha kileleni mweza wako, kabla ya yote maandalizi muhimu. Kama hatumii vishawish vyovyote yaani dawa za nguvu hatohitaji zaidi baada ya bao tatu.
 
Kwani pakti moja ya kondomu ina condom ngapi? Nadhani wataalam waliona X3 ni inahusika sana.
 
Back
Top Bottom