JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
Hahaha! Ahsante kwa kusikia ombi langu la avatar!
Mi mzuri eeeeee????? Karibu lakini napenda paka umenikatishia starehe ya kumuona nyau
Hahaha! Ahsante kwa kusikia ombi langu la avatar!
inawezekana kabisa mmeo hakuandai ipasavyo, munkari na ashki ya mapenzi ndivyo vinavyomfanya mtu afanye mambo tunayoyaona machafu nje ya kitanda, akikuandaa vizuri kwa maneno matamu na kukumbeleza na kukupelemba sehemu zenye utamu na hisia wallahi mama mchungaji utalamba kama chostiki, mimi wife tukikaa ktk hali ya kawaida huwa hapendi denda lkn najua kwa kumpatia wala huwa si initiate, najua wapi nianzie wapi niishie, mama mchungaji amini usiamini ikifika robo tatu ya mlima ntanyonwa mpaka masikio, akifika kileleni na kumaliza nikiomba denda hataki tena, anasema hana experience na denda.
Kama ni mvutaji sigara(kama mimi lol) mwambie awe ana tafuna big G kabla ya kuanza gemu, au kama ni mnywaji na wewe kilauri haipandi, basi mshauri awe ana piga gemu kabla haja enda kunywa kilauri!Hakupendi huyo au unanuka mdomo yafanyie kazi mkubwa
jamani nisaidieni,,mi mwenzenu nina allegy na denda...ila kazinayoipata huyu mwenzangu anapenda, kila napomwambia mi sitaki utaona huyo kaja...bwana we sipendi mimi...lakini bado ananijia sehemu ya mdomo..hasa tunapokuaga kwenye ile kazi** ndo utamuona huyo kwa hio nafanya kazi ya kumkwepa..hebu nisaidieni nafanya sawa..na je nifanyaje aache kunikera maana imekua kero..si mnajua mtu anapokufanyia kitu kinachokuboa inavyokuaga.. nyie acheni.
Tafuta asiyependa denda, nadhani utakuwa na furaha wakati ule wa nanihii kuliko huyo anayekukera!
...Vipi ananuka mdomo au mustachi hauna dressing!!! Mchumishane mboga midomo haitakutana!!!
duuuuh!...tafuna vitunguu swaumu kabla ya tendo, ataacha tu.