mwananthropolojia
JF-Expert Member
- Oct 6, 2012
- 956
- 658
Zimezeeka kwa kweli, karibu zinakuwa bandama
mwee! hazifai hata kwa supu
Zimezeeka kwa kweli, karibu zinakuwa bandama
Angalia nanihii isijekugeuka kuwa naniliu. Itakuwa majanga majanga
mwee! hazifai hata kwa supu
Ni laini sana, zinafaa kwa sushi tu
heeh. Babu zamani mlikuwa mnafundishwa kurarana? Manake kizazi hichi tunajivumbulia wenyewe. Ndo maana tunapotea milango.
we acha tuumeonaee..! Waweza sinzia kama teja!
Old skul mkiingia rum tu, mkonga uko juu kama wa tembo
Na mwanamke akiona mkonga juu tu, mtera inaruusu maji
Hapo ni kurukiana tu kwa raha
Usidanganywe, raha ni ile ile, umepakazwa mate au lah
Mradi kilimani ufike, sioni haja ya kujichafua saaana