Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,296
- 108,322
Kaka naona unanifanya watu wanione chizi, nimecheka sana...nikakumbuka mihogo ya kukaanga dah!
Hahaha...mkuu usicheke sana
Kumbe nawe unafahamu mambo ya chips dume, muhogo wenye unga unga unapasuliwa katikati halafu unapakwa chachandu kama vile kiatu kinapigwa brashi...unashushia na juisi ya miwa.
Hii mambo tumefanya sana wakati wa tuition za sekondari