Kiss mpaka amalize form six!!

mkuu icho kibinti kinakudanganya au kinakupotezee time tu. iyo style wanaitumia sana, so ako kana mtu mwingi ana kachapa balabala. kama vp chapa lapa.
 
mi nililea kama style iyo yako sasa kapo SUA 3yr, sas kanachapwa na wengine sawasawa sina hamu kabisa kusikia izo style....., tena kalichukuwa PCB kama yako,,
 
mkuu ako usikasaidi ata kitu kimoja, mpaka upate uwakika plz. uyo tapeli tu
 
mkuu icho kibinti kinakudanganya au kinakupotezee time tu. iyo style wanaitumia sana, so ako kana mtu mwingi ana kachapa balabala. kama vp chapa lapa.

Daa hyo ndo mbinu yao bt mbna aoneshi dalili za kulambwa na mwingne?
 
mi nililea kama style iyo yako sasa kapo SUA 3yr, sas kanachapwa na wengine sawasawa sina hamu kabisa kusikia izo style....., tena kalichukuwa PCB kama yako,,

Oho basi daa mbona unanipa hard tiym tena?
 
Mvumilie 2,mwenyewe nilikua na kangu kaliniambia nkasubir kamalze kwanza form 6 ndo tutasex,nashukuru jana kamekuja kunitembelea,nikakatafuna.
 
Huyu m2 ni vip or ndo utoto unamsumbua ni demu wangu but sijawahi mshika hata mkono nikitaka kumkiss ananiambia hadi amalize form six daa au ni PCB inamchanganya embu naombeni msaada kuhusu uyu mtu!

nini???? ukimkiss paka atamaliza form six! kama unampenda kweli mwache atimize ndoto na malengo yake....! note: labda mkikutana anakuwa kisha kiss sana amechoka, badilisha mda wa kukutana nae!
 
kwa sasa endelea kumpa all the support that she needs, akimaliza shule mtaendelea na ratiba nyingine
 
Mvumilie 2,mwenyewe nilikua na kangu kaliniambia nkasubir kamalze kwanza form 6 ndo tutasex,nashukuru jana kamekuja kunitembelea,nikakatafuna.

Hahaha daa 2years frm bow aisee hyo ngum daaaa akimaliza atafunwe na m2 mwngne?
 
Bikra mwenzangu huyo mwache amalize hyo form six ndo utazijua mbivu na mbichi.

Mmmmmmmmh kwel bucra or unaongea 2 sasa hv kuwapata hao noma wewe ni hadim kama huyo mtoto wa form six bt form six mbal sana aisee!
 
nini???? ukimkiss paka atamaliza form six! kama unampenda kweli mwache atimize ndoto na malengo yake....! note: labda mkikutana anakuwa kisha kiss sana amechoka, badilisha mda wa kukutana nae!

Ok ngoja bi mwache coz navyo mwona ukifungua ataaribika!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom