Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,007
- 1,259
Na hapo?teh teh teh ... teh teh teh... teh teh teh... UMENIFIKISHA!!!!
Na hapo?teh teh teh ... teh teh teh... teh teh teh... UMENIFIKISHA!!!!
Kweli Kabisa Let Bygones be Bygones.....,
Lakini nikichukua List ya Ma-Ladies ambao walishawahi kupigwa BAN ya maisha...
alafu nikarelate na The way unavyoandika..........................,
Nadhani ni......,
Tugange yajayo yaliyopita si ndwele, Alafu hata aliyekufanya upigwa BAN msamehe
"We Destroy our Enemies by Making Them Our Friends"
Nimekupata. Haya karibuMakubwaaaaaaaaaaaaaa... usije uzi wangu ukahamishiwa jukwaa la wakubwa na hali bado niko katika maombi na majibu bado.. Khaaaaaaaaa!!!
aaaaah... mmmmh... nawe mjukuu wake?? asante mwaya teh teh teh
haya niko tayari kukaa kimya na kikuku kiss.. Swali wewe mkaka mdada??
mie ndio mjukuu wake kipenzi ninae onja chakula chake kabla hajala...tunampenda sana babu yetu ndio maana tunamlinda.kwa maana hiyo basi mawasiliano yote yatapitia kwngu,lol!
Romance jina langu, JF nia yangu, GT watu wangu naomba mnipokee tena binti mnyenyekevu....
Nilipigwa burn ya maisha ila nimejirekebisha... teh teh teh
Kiss Kiss Kiss JF... Mwaaaaaaaaaaaah!
Katika kumbukumbu zako usinisahau
Nimekuwa wa kwanza kukuambia karibu
Naitwa Babu Asprin ODM
Mtaalam wa kukagua matiti ya wajukuu.
Karibu kwenye himaya yangu
Haya karibu dada/kaka jamvini.PICHA IWE YA MWISHO HII ZINANICHANGANYA.. Khaaa
Aisee, Kweli wewe mzoefu..
Karibu dear, hizo kisses naona kweli zimetufikia..
Hongera kwa kurudi upya na kwa kufungua Gamba at that..
Enjoy...
Umeanza lini kukagua watermelone za wajukuu..........babu mkware
karibu dada romance