Kiss Kiss Kiss JF... Mwaaaah!

Kiss Kiss Kiss JF... Mwaaaah!

Romance

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2011
Posts
585
Reaction score
159
Romance jina langu, JF nia yangu, GT watu wangu naomba mnipokee tena binti mnyenyekevu....
Nilipigwa burn ya maisha ila nimejirekebisha... teh teh teh

Kiss Kiss Kiss JF... Mwaaaaaaaaaaaah!
 
Romance jina langu, JF nia yangu, GT watu wangu naomba mnipokee tena binti mnyenyekevu....
Nilipigwa burn ya maisha ila nimejirekebisha... teh teh teh

Kiss Kiss Kiss JF... Mwaaaaaaaaaaaah!

Katika kumbukumbu zako usinisahau
Nimekuwa wa kwanza kukuambia karibu
Naitwa Babu Asprin ODM
Mtaalam wa kukagua matiti ya wajukuu.
Karibu kwenye himaya yangu
 
Umevua gamba, sio? karibu tena mama, ila safari hii kua mnyenyekevu kweli usipigwe tena ban nyingine. JF ina wenyewe na sisi wote ni wageni tu humu ndani. Happy to have you back (kama ni yule ninae mfikiria mimi)
 
Katika kumbukumbu zako usinisahau
Nimekuwa wa kwanza kukuambia karibu
Naitwa Babu Asprin ODM
Mtaalam wa kukagua matiti ya wajukuu.
Karibu kwenye himaya yangu


Babu hizi chuchu sitakuangusha.... teh teh teh
 
Umevua gamba, sio? karibu tena mama, ila safari hii kua mnyenyekevu kweli usipigwe tena ban nyingine. JF ina wenyewe na sisi wote ni wageni tu humu ndani. Happy to have you back (kama ni yule ninae mfikiria mimi)


GT siku hizi wakarimu mmmmh... nimefurahi kua umenichangamkia... raha jamani...
 
karibu sana JF Romance
Lakini jina lako la zamani ni nani hebu nipe kumbukumbu kidogo
Tuko pamoja
 
Karibu Sana.....,
Ila in old life kabla haujala BAN je tulikuwa marafiki, maadui au....???
Anyway karibu tena na remember ukipigwa BAN you can allways come back kivingine.
 
karibu sana JF Romance
Lakini jina lako la zamani ni nani hebu nipe kumbukumbu kidogo
Tuko pamoja


Nikitaja jina langu la zamani nitapata burn nyingine tena! teh teh teh Nimefurahi umenikaribisha vizuri wewee... tuko pamoja eeeh.. nimefurahiiiiii
Asante mwaya
 
A7F90DA0-BF7C-639F-1F6882048A4228C7_1.jpg
 
Karibu Sana.....,
Ila in old life kabla haujala BAN je tulikuwa marafiki, maadui au....???
Anyway karibu tena na remember ukipigwa BAN you can allways come back kivingine.


Tugange ya jao GT, nimekuja upyaaaaaaaaa, yoote ya kale nimefutaaaaaaaaa, alienipelekea burn sitaki hata kumsikia lakini... why lie jamani teh teh teh lakini sio wewe asipite tu hapa kunikaribisha... Khaaaa
 
karibu sana jamvini itabidi nimbebee babu pakacha lake wakati anakuja kumkagua mjukuu.
 
Tugange ya jao GT, nimekuja upyaaaaaaaaa, yoote ya kale nimefutaaaaaaaaa, alienipelekea burn sitaki hata kumsikia lakini... why lie jamani teh teh teh lakini sio wewe asipite tu hapa kunikaribisha... Khaaaa
Kweli Kabisa Let Bygones be Bygones.....,

Lakini nikichukua List ya Ma-Ladies ambao walishawahi kupigwa BAN ya maisha...
alafu nikarelate na The way unavyoandika..........................,
Nadhani ni......,
Tugange yajayo yaliyopita si ndwele, Alafu hata aliyekufanya upigwa BAN msamehe
"We Destroy our Enemies by Making Them Our Friends"
 
Back
Top Bottom