Kisomo kwanza!

Kisomo kwanza!

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
4,596
Reaction score
1,236
542944_426806894019429_1213252038_n.jpg
 
Mafisadi wooote, waende motoni waungue mpaka kule kwenye biolojia!!!
 
hapo wanapigwa jua mchana kutwa, sijui wanafanyaje wakati wa masika
 
Huenda hiyo ni Tuition, mwl hajapata mishahara ya miezi kadhaa wala posho ya kujikimu, kawa mbunifu.
 
Kama utaangalia kwa makini,, kilichoandikwa hapo ni hati za ARABIC,,, itakua walikua wanafundishwa Arabic lesson,, ama sio TZ
 
bado tz hihi kuna sehemu ziko hivihivi.inatia hasira
af unakuta hawa wakuu wanajipulizia viyoyozi
kwenye ma v8 kuelekea kwa vimada wao aghrrrrrr kwaheri ccm.jpg
 
Back
Top Bottom