Ngangasyonga JF-Expert Member Sep 13, 2010 455 70 Jun 5, 2012 #3 Mafisadi wooote, waende motoni waungue mpaka kule kwenye biolojia!!!
Fixed Point JF-Expert Member Sep 30, 2009 11,304 12,744 Jun 5, 2012 #4 hapo wanapigwa jua mchana kutwa, sijui wanafanyaje wakati wa masika
SIMBA WA TARANGA JF-Expert Member Feb 14, 2012 987 220 Jun 5, 2012 #5 Huenda hiyo ni Tuition, mwl hajapata mishahara ya miezi kadhaa wala posho ya kujikimu, kawa mbunifu.
Mshirazi JF-Expert Member Dec 8, 2009 444 170 Jun 5, 2012 #6 Kama utaangalia kwa makini,, kilichoandikwa hapo ni hati za ARABIC,,, itakua walikua wanafundishwa Arabic lesson,, ama sio TZ
Kama utaangalia kwa makini,, kilichoandikwa hapo ni hati za ARABIC,,, itakua walikua wanafundishwa Arabic lesson,, ama sio TZ
Ndallo JF-Expert Member Oct 1, 2010 7,619 4,292 Jun 6, 2012 #9 NICE LAMECK said: enzi za ujima. Click to expand... Kiongozi hiyo siyo Enzi za ujima bali Tanzania hii bado tunayo na ipo!
NICE LAMECK said: enzi za ujima. Click to expand... Kiongozi hiyo siyo Enzi za ujima bali Tanzania hii bado tunayo na ipo!
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Oct 28, 2010 27,263 16,288 Jun 6, 2012 #10 biologia kuungua inakuwaga ngumu Ngangasyonga said: Mafisadi wooote, waende motoni waungue mpaka kule kwenye biolojia!!! Click to expand...
biologia kuungua inakuwaga ngumu Ngangasyonga said: Mafisadi wooote, waende motoni waungue mpaka kule kwenye biolojia!!! Click to expand...
Mulhat Mpunga JF-Expert Member Oct 28, 2010 27,263 16,288 Jun 6, 2012 #11 bado tz hihi kuna sehemu ziko hivihivi.inatia hasira af unakuta hawa wakuu wanajipulizia viyoyozi kwenye ma v8 kuelekea kwa vimada wao aghrrrrrr
bado tz hihi kuna sehemu ziko hivihivi.inatia hasira af unakuta hawa wakuu wanajipulizia viyoyozi kwenye ma v8 kuelekea kwa vimada wao aghrrrrrr