Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,427
Sasa atafanya tafiti vipi wakati yeye yuko Detroit? anataka watu wawajibike wakati yeye anabofya keybord akiwa Mac Donald wakati wenzake wapo kwenye Battle Field.hiyo ndio mission yake,mkuu ndio maana kashawishi uasi wa wanachama.Atakuja na posting ndeefu sana halafu hana tafiti yoyote inayoweza thibitisha kuwa hizo factors hazikuwa na effect au hata effect zake ni negligible.
Mbaya kasahau kuwa ingekuwa kinyume basi wanachama ndio wangelaumiwa kwa kutopiga kura.
Kwani hujui Mwanakijiji ni mmoja wa waasisi wa CCJ?
Mkuu, nimeipenda hiyo MMJ ndio alivyo, hata wafanyeje sijawahi ona kaanzisha uzi wa kuwasifika, makamanda hawalali sie tunaona wanapambana na majitu, imagine CCM more than50 yearz wanatawala, leo tuje kuwatoa kilahisi, mpaka sasa CDM wamejitahidi na tunajivunia kuwa nao...
Ama anataka tuanzishe Chadema Halisi...?
hiyo ndio mission yake,mkuu ndio maana kashawishi uasi wa wanachama.Atakuja na posting ndeefu sana halafu hana tafiti yoyote inayoweza thibitisha kuwa hizo factors hazikuwa na effect au hata effect zake ni negligible.
Mbaya kasahau kuwa ingekuwa kinyume basi wanachama ndio wangelaumiwa kwa kutopiga kura.
Time will tell,ukombozi uko mlangoni,hauzuiliwi na propaganda za watu kama MM.
Kwani hujui Mwanakijiji ni mmoja wa waasisi wa CCJ?
Sasa atafanya tafiti vipi wakati yeye yuko Detroit? anataka watu wawajibike wakati yeye anabofya keybord akiwa Mac Donald wakati wenzake wapo kwenye Battle Field.
Daftari la wapiga kura na vyombo vya dola vitabebeshwa lawama na labda vinastahili. Lakini katika hili CHADEMA inapaswa kutoa sababu zinazoeleweka zaidi ya visingizio.
Wanachama, wapenzi, na mashabiki wa CHADEMA wanapaswa kuwa wakali kidogo (au sana) ili chama kiweze kutoa maelezo yanayoeleweka ya kwanini matokeo haya hayakuwa mazuri kama watu walivyokuwa wanaaminishwa au kutarajia. Kuelekea uchaguzi mkuu wa 2015 CHADEMA ilitakiwa iwe inasukumwa na upepo wa ushindi lakini hali sivyo ilivyo.
Kama majibu ya kueleweka hayapo ipo haja ya haraka ya kuanza kudai watu wawajibike au wawajibishwe.
To be continued....
MMK at work..a man with mission.Kama alivyokomaa kuwa ufisadi si kitu kikubwa kwa CDM kushikia bango asa anajidhihirisha tena yupo katika mrengo gani.Startistics zinaonyesha idadi kubwa sana ya watu hawakupiga kura mwaka 2010,na wengi ni kwa vile daftari halikufanyia mabadiliko ya kuwajumusha watu,ununuzi wa shahada na mengine.Vijana wa iaka 18,na 19 ni wengi sana na kila mtu anajua kura zao zingekwenda wapi.MMK kaamua tuu kibishi kulifanya si muhimu suala la daftari.Na kaenda mbali kuchochea uasi ndani ya CDM.
Huyu ndiye mshauri wa kujitolea kwa CDM kutoka CCM.Sasa anajianda kuja na makala ndeefu sana kwa kile anachoamini kuwa kapata kit chenye mashiko ,akiamini kapata kitu toka ktk fikra ambcho ni worth kuandika maneno meengi sana.Mbaya zaidi ahjafanya hata research aone ktk parameters zote zinazotumika kuelezea matokeo ya chaguzi na Kwa kiasi gani zilichangia kubadili wingi wa kura kw aupande fulani huku zikiongeze upande mwingine.
Mkulu hana subira kama jamaa wa mbagala ili awahi haribu kabla haujaja uthibitisho utakaomzuia nia yake kutimia.Sasa anataka viongozi waseme nini wakati wengine wana majibu waliyojionea wenyewe?huyu ndie aliyeshindwa sema kama yeye ni mshauri au critics kasema hizo options hazitoshi.Sasa mwenye macho na fikra amtafutie nafasi yake.
Hapana kusema kuwa kuongeza kata 3 tu kati ya 29 kwa chadema pamoja na popularity yote hii ni makosa , huo ni mwendo wa konokono kwa chama ambacho kinatarajia kushika dola hapo 2015! Ikumbukwe kuna M4C inatembea nchi nzima nilitarajia sana kuona reflection ya M4C kwenye hizi chaguzi ndogo za udiwani! Tusijipe moyo na hzi kata mbili tatu eti tumeongeza?? Viongozi wa juu waliopewa dhamana ya kuongoza chama lazima waje na majawabu haraka sana kuhusu haya:Mzee Mwanakijiji
Hapa kidogo utakuwa umekosea. Kuanza kuleta mada ya kuaandalia uongozi wa CDM uwe na mazingira ya kuonekana kufail wakati hakuna failure hapo.
Kumbuka CDM ilikuwa na kata chache tu nadhani kufanikiwa kupata kata nyingine 3 ni maendeleo makubwa sana. Kumbuka jitihada hizi zinafanywa na watu wanaofikiria pia. Na hata kufika katika kiwango hiko cha kupata hizo kata pia ni juhudi kubwa zimetumika.
Unaposema unasubiria upate maelekezo ya nini kimetokea yanaweza yasikunufaishe wewe, zaidi ya kuwanufaisha wenyewe CDM kwenye kutambua ni wapi walipoteleza.
Hili sio anguko kwa CDM. Ni anguko kwa CCM kwa kupoteza kata. Hakuna wa kulaumiwa zaidi ya kupongezwa ingawa matarajio yamekuwa hasi kidogo. Kutafuta ukombozi sio kukaa ofisini watakufa watu wengi mpaka kufikia ukombozi kamili.
Kuwa mstaarabu, tushindane kwa hoja, siyo vibwagizo Mkuu, Mfano M4c imezoa kata 3, ulitaka izoe ngapi, kwa nini?M4C ndio imezaa kata 3 jipangeni upya msitafute mchawi.
kaa kimya wewe gamba! kama huna mchango just keep quite!Chadema sio chama cha kitaifa ni chama cha kikanda ndio maana umeona watanzania walivyokikataa kwenye chaguzi za udiwani, ni chama cha kikanda.
Kama ndio hivyo? kwanini Tusimuone MMJ kuwa ni9 Janga la Taifa?
YES! I mean it, kama mtu kama yeye tulitegemea ataandika makala ndefu( kiama kawaida yake) kuponda huo mfumo anabaki kuwakatisha tama wanao pambana na huo mfumo?
Madharani: kumetokea fujo kila sehemu hakuna cha Tendwa, NEC wala IGP?
Kweli Mwanakijiji unazeeka vibaya!
Pasco hana jipya ni karani wa Lowasa.Chama Kinashinda MM anaona is nothing? maovu yanazidi bastora, mikuki na mapanga yeye anaona poa tu, hakuna kilichofanyika? kweli pesa mbaya sana MM kashanunuliwa, Tumsubiri Pasco, labda atakuwa na mawazo chanya...
na huwa nafurahia analysis za Mchambuzi, siyo huyo mameno mengi yanayosukumwa kwa posho!
kata tatu kati ya 29 ni achievement lakini ni sawa na mwendo wa kobe au kinyonga kuelekea kushika dola hapo 2015 lazima tukubali matokeo haya yamekuwa beyond our expectation na viongozi watupe maelezo what actually happened na pia watoe dira kwa chaguzi zijazo ila ni upuuzi kushereekea kata 5 kati ya 29 hasa kwa chadema wangekuwa ADC au PONA au UDP au TADEA walipaswa kushangilia hata kwa miezi miwili lakini for chadema noooooo!!we have to look back and plan the future of our partyKuwa mstaarabu, tushindane kwa hoja, siyo vibwagizo Mkuu, Mfano M4c imezoa kata 3, ulitaka izoe ngapi, kwa nini?
ok niliuliza hivi Unaelewa mana ya VUGUVUGU la mabadiliko?
Mabadiliko huwa hayaji siku moja? Leo masikini kesho tajiri? ok Madhumuni ya M4C unayafahamu? twende kwa hoja,
Sasa atafanya tafiti vipi wakati yeye yuko Detroit? anataka watu wawajibike wakati yeye anabofya keybord akiwa Mac Donald wakati wenzake wapo kwenye Battle Field.
labda ungeeleza "wajipange" ndio nini, wameongeza hizo kata 3 kutoka kwa wapigakura wale wale walioichagua ccm uchaguzi kabla ya huu. margin ya ushindi wa ccm imezidi kupungua sana (naongelea idadi ya wapiga kura waliowaunga mkono) ina maana mabalozi wa chadema wanaongezeka day come day go,
lazima, nasema tena lazima tuwapongeze wananchi kwa kutekeleza demokrasia katika mazingira magumu sana na kuonyesha kuwa ni kweli wao ndio wenye nguvu.
hushangai ccm inatumia mpaka majambazi sugu ku-terrorise voters na polisi wamebung'aa tu.
Kama ndio hivyo? kwanini Tusimuone MMJ kuwa ni9 Janga la Taifa?
YES! I mean it, kama mtu kama yeye tulitegemea ataandika makala ndefu( kiama kawaida yake) kuponda huo mfumo anabaki kuwakatisha tama wanao pambana na huo mfumo?
Madharani: kumetokea fujo kila sehemu hakuna cha Tendwa, NEC wala IGP?
Kweli Mwanakijiji unazeeka vibaya!