Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 57,026
- 94,668
Alikwina, unajamba maputo tu, kati ya CCM na Chadema ni nani aliyepoteza kwenye uchaguzi huu? unadhani wana CCM wa Arusha akiwemo mlezi wao Steven Wassira wana amani muda huu? unafahamu kwamba CCM iko tayari hata kuuwa ili iweze kuidhibiti Arusha?Kesho utasikia Dr Slaa anaita waandishi wa habari na kuwaambia Usalama wa Taifa wamengilia uchaguzi.