mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,312
- 947
Habari za asubuhi wadau naona jana azam media wamezindua kisimbuzi cha antena,kwa wataalamu mnaweza kutuchambulia utofauti wa kisimbuzi cha dish na cha antena faida na hasara zake
Antena sometimes huwa zinaleta show mbaya kwenye houseHabari za asubuhi wadau naona jana azam media wamezindua kisimbuzi cha antena,kwa wataalamu mnaweza kutuchambulia utofauti wa kisimbuzi cha dish na cha antena faida na hasara zake
mkuu na mimi natamani sana kujua aiseeeHabari za asubuhi wadau naona jana azam media wamezindua kisimbuzi cha antena,kwa wataalamu mnaweza kutuchambulia utofauti wa kisimbuzi cha dish na cha antena faida na hasara zake
Asante tunakusubiriLabda niwafumbue macho kwa mambo machache.
1. Mawasiliano kwa njia ya Satellite ni ghali sana hasa ukizingatia satellite ni za kukodi. kwa hiyo ukirusha matangazo kwa Mitambo ya kusimikwa ardhini ( Terestrial ) Ni ghalama nafuu zaidi
2. Mawasiliano ya Satellite yana changamoto ya hali ya hewa hasa mvua. so effectiveness haipo na pia kwe satellite kuna delay (Latency) lakini mawasiliano kwa njia ya digital yana nafuu katika hili
3. Bei ya Vifaa Eg King'amuzi na dish lake ni bei juu kuliko ukinunua Decoder ua antenna. Ndio maana utaina Star times wameshawahi uza ving'amuzi hadi chini ya elfu 50 wakati vya Dish ni laki 1 Plus
4.
5.
6.
Nitarudi
Labda niwafumbue macho kwa mambo machache.
1. Mawasiliano kwa njia ya Satellite ni ghali sana hasa ukizingatia satellite ni za kukodi. kwa hiyo ukirusha matangazo kwa Mitambo ya kusimikwa ardhini ( Terestrial ) Ni ghalama nafuu zaidi
2. Mawasiliano ya Satellite yana changamoto ya hali ya hewa hasa mvua. so effectiveness haipo na pia kwe satellite kuna delay (Latency) lakini mawasiliano kwa njia ya digital yana nafuu katika hili
3. Bei ya Vifaa Eg King'amuzi na dish lake ni bei juu kuliko ukinunua Decoder ua antenna. Ndio maana utaina Star times wameshawahi uza ving'amuzi hadi chini ya elfu 50 wakati vya Dish ni laki 1 Plus
4.
5.
6.
Nitarudi
Mkuu Startimes cha antena cha 49,000 kina port ya HDMI lakini kina resolution ya 1080i na cha dishi ni 1080pKama kitakuwa HD pamoja na HDMI nitanunua. Lakini kama kitakuwa kama cha Startimes hapo hamna walichofanya.
Mkuu Startimes cha antena cha 49,000 kina port ya HDMI lakini kina resolution ya 1080i na cha dishi ni 1080p
Swali la msingi ni kuwa vipi utofauti kwenye uoneshaji wa pichaLabda niwafumbue macho kwa mambo machache.
1. Mawasiliano kwa njia ya Satellite ni ghali sana hasa ukizingatia satellite ni za kukodi. kwa hiyo ukirusha matangazo kwa Mitambo ya kusimikwa ardhini ( Terestrial ) Ni ghalama nafuu zaidi
2. Mawasiliano ya Satellite yana changamoto ya hali ya hewa hasa mvua. so effectiveness haipo na pia kwe satellite kuna delay (Latency) lakini mawasiliano kwa njia ya digital yana nafuu katika hili
3. Bei ya Vifaa Eg King'amuzi na dish lake ni bei juu kuliko ukinunua Decoder ua antenna. Ndio maana utaina Star times wameshawahi uza ving'amuzi hadi chini ya elfu 50 wakati vya Dish ni laki 1 Plus
4.
5.
6.
Nitarudi
Sifahamu kila kitu watakuja wataalamu watafafanua vizuri kuhusu 1080interlaced na 1080progressive which is betterNifafanulie tofauti kati ya 1080i na 1080p
Sawa lakini sio kwa bei hio ya 99,000 azam mnajionaga keki sana
inategemea na aina ya hicho kisimbuzi, kimeshaanza kuuzwa? tukiona model tutajua kama wanatupiga ama kinastahili, ila kikawaida vifaa vya terestrial ni bei rahisi.Startimes wana elfu 49, wao wanauza elfu 99 [emoji38] kweli wanajiona keki. Bora wangefanya hata 55
inategemea na aina ya hicho kisimbuzi, kimeshaanza kuuzwa? tukiona model tutajua kama wanatupiga ama kinastahili, ila kikawaida vifaa vya terestrial ni bei rahisi.
naona mwaka jana pia walikuwa na deal na wa Azerbaijan kuhusu terestrial