Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

mikumiyetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2016
Posts
1,312
Reaction score
947
Habari za asubuhi wadau naona jana azam media wamezindua kisimbuzi cha antena,kwa wataalamu mnaweza kutuchambulia utofauti wa kisimbuzi cha dish na cha antena faida na hasara zake
 
Habari za asubuhi wadau naona jana azam media wamezindua kisimbuzi cha antena,kwa wataalamu mnaweza kutuchambulia utofauti wa kisimbuzi cha dish na cha antena faida na hasara zake
Antena sometimes huwa zinaleta show mbaya kwenye house
 
Habari za asubuhi wadau naona jana azam media wamezindua kisimbuzi cha antena,kwa wataalamu mnaweza kutuchambulia utofauti wa kisimbuzi cha dish na cha antena faida na hasara zake
mkuu na mimi natamani sana kujua aiseee
 
Labda niwafumbue macho kwa mambo machache.

1. Mawasiliano kwa njia ya Satellite ni ghali sana hasa ukizingatia satellite ni za kukodi. kwa hiyo ukirusha matangazo kwa Mitambo ya kusimikwa ardhini ( Terestrial ) Ni ghalama nafuu zaidi

2. Mawasiliano ya Satellite yana changamoto ya hali ya hewa hasa mvua. so effectiveness haipo na pia kwe satellite kuna delay (Latency) lakini mawasiliano kwa njia ya digital yana nafuu katika hili

3. Bei ya Vifaa Eg King'amuzi na dish lake ni bei juu kuliko ukinunua Decoder ua antenna. Ndio maana utaina Star times wameshawahi uza ving'amuzi hadi chini ya elfu 50 wakati vya Dish ni laki 1 Plus

4.

5.

6.

Nitarudi
 
Labda niwafumbue macho kwa mambo machache.

1. Mawasiliano kwa njia ya Satellite ni ghali sana hasa ukizingatia satellite ni za kukodi. kwa hiyo ukirusha matangazo kwa Mitambo ya kusimikwa ardhini ( Terestrial ) Ni ghalama nafuu zaidi

2. Mawasiliano ya Satellite yana changamoto ya hali ya hewa hasa mvua. so effectiveness haipo na pia kwe satellite kuna delay (Latency) lakini mawasiliano kwa njia ya digital yana nafuu katika hili

3. Bei ya Vifaa Eg King'amuzi na dish lake ni bei juu kuliko ukinunua Decoder ua antenna. Ndio maana utaina Star times wameshawahi uza ving'amuzi hadi chini ya elfu 50 wakati vya Dish ni laki 1 Plus

4.

5.

6.

Nitarudi
Asante tunakusubiri
 
Muhandisi tujuze,hivi antena kwenye mvua hakuna shida? Je mwanzo azam kwenye dish FTA zilikuwepo jee baada ya antena na kule zitabaki?
Labda niwafumbue macho kwa mambo machache.

1. Mawasiliano kwa njia ya Satellite ni ghali sana hasa ukizingatia satellite ni za kukodi. kwa hiyo ukirusha matangazo kwa Mitambo ya kusimikwa ardhini ( Terestrial ) Ni ghalama nafuu zaidi

2. Mawasiliano ya Satellite yana changamoto ya hali ya hewa hasa mvua. so effectiveness haipo na pia kwe satellite kuna delay (Latency) lakini mawasiliano kwa njia ya digital yana nafuu katika hili

3. Bei ya Vifaa Eg King'amuzi na dish lake ni bei juu kuliko ukinunua Decoder ua antenna. Ndio maana utaina Star times wameshawahi uza ving'amuzi hadi chini ya elfu 50 wakati vya Dish ni laki 1 Plus

4.

5.

6.

Nitarudi
 
Labda niwafumbue macho kwa mambo machache.

1. Mawasiliano kwa njia ya Satellite ni ghali sana hasa ukizingatia satellite ni za kukodi. kwa hiyo ukirusha matangazo kwa Mitambo ya kusimikwa ardhini ( Terestrial ) Ni ghalama nafuu zaidi

2. Mawasiliano ya Satellite yana changamoto ya hali ya hewa hasa mvua. so effectiveness haipo na pia kwe satellite kuna delay (Latency) lakini mawasiliano kwa njia ya digital yana nafuu katika hili

3. Bei ya Vifaa Eg King'amuzi na dish lake ni bei juu kuliko ukinunua Decoder ua antenna. Ndio maana utaina Star times wameshawahi uza ving'amuzi hadi chini ya elfu 50 wakati vya Dish ni laki 1 Plus

4.

5.

6.

Nitarudi
Swali la msingi ni kuwa vipi utofauti kwenye uoneshaji wa picha
 
Back
Top Bottom