Kisia ni wapi hapo kwenye picha?

Kisia ni wapi hapo kwenye picha?

Hapo ni Soko Matola jirani na Loleza sekondari
 
Kwani kitonga ni mrima mkaree, pita Iringa -Dodoma kuna mlima unaitwa Nyang'olo irumba1

Hivi Nyang'olo imewekwa lami? Kuna kitu ilikua inaitwa KING CROSS acha kabisa. Mbona jina lako la Lyandembela1 linafanana na kamto flani kuna shule iko Ifunda?
 
Last edited by a moderator:
sasa Samaritan unataka kujua nini kuhusu jina langu, umepita Ifunda sec nini kiongozi, Ndo maskani bhana. Ndo wanajenga barabara ya rami kwa sasa, na King Cross atatafuta njia ya kwenda coz itakuwa Iringa-Dom sawa na Iringa-Njombe au Dar-Moro kwa sababu ni kilomita 260 Iringa-Dodoma
 
Last edited by a moderator:
sasa Samaritan unataka kujua nini kuhusu jina langu, umepita Ifunda sec nini kiongozi, Ndo maskani bhana. Ndo wanajenga barabara ya rami kwa sasa, na King Cross atatafuta njia ya kwenda coz itakuwa Iringa-Dom sawa na Iringa-Njombe au Dar-Moro kwa sababu ni kilomita 260 Iringa-Dodoma

Mkuu nilipita hapo Ifunda mkuu (2000, IV) lyandembela si ndio tulikua tunaenda kuoga wekeend? kuna siku nikaamua kupita hiyo njia ili nikaone pale wanapofua umeme, sikujutia huo uamuzi. sema tatizo mnalala njiani (Mtera) nadhani kesho yake mnaingia Dom.

Be blessed
 
Labda kipindi cha Masika na ukuritimba wa wenye magari si unajua walikuwa Monopoly kwenye hii njia. Saa hizi kuna gari inaitwa ROSHEN inatoka Dom saa 12:30 inaingia Iringa saa saba na nusu mchana. Halafu inakwenda mpaka Mafinga Samaritan
 
Last edited by a moderator:
Labda kipindi cha Masika na ukuritimba wa wenye magari si unajua walikuwa Monopoly kwenye hii njia. Saa hizi kuna gari inaitwa ROSHEN inatoka Dom saa 12:30 inaingia Iringa saa saba na nusu mchana. Halafu inakwenda mpaka Mafinga Samaritan

Thanks mkuu ila hii ya MziziMkavu ni kiboko, kuna maeneo naona hata kupishana kama haiwezekani vile, na lesseni yakolazima isiwe ya kichina.
 
Last edited by a moderator:
If Latin America=Bolivia
If Asia=China or Kashimir
 
Mi najiuliza tuu 'if it is necessary' kupita hapo. Moyo wangu wala haukubaliani na hili kwa kweli, baaaaado
 
Hii niliwahi kuonaga kwenye National Geographic Channel, kama sikosei ni Peru.
 
Back
Top Bottom