Kishindo: Yusuph Manji atikisa Mkutano wa Yanga Chang'ombe

Sasa matusi ya nini, mkuu si ndio wameanza, tatizo nini Manji kuwepo au. Huu ni mwanzo tu kwahiyo wasifurahi?
Hujawasikia huko mitaani. Kama hujui mashabiki wa Tanzania uliza kwanza huwa hawajui neno mchakato. Wao wakisikia usajili wanawaza ubingwa?
 
simba ilijengwa kwa misimu mingapi si waliwanunua kina kapmb azam wakajaza wakawa na tim bora mpka leo tim ni msim mmoja tuu
Una uhakika? Simba imeanza kujengwa toka kina Mavugo, Kichuya, Okwi, Peter Mwalyanzi nk uongozi ulikuwa chini ya Aveva kabla hajaenda jela. Taratibu wakaingiza wengine kina Bocco, Nyoni nk kabla ya Chama, Dilunga then wakaja Luis, Bwalya nk
 
Yanga Wana haki ya kufurahi kiasi kile juu ya uwepo wa Manji.

Yanga ya Manji ndo yanga Bora kuwahi kutokea interms of mafanikio ndani na nje ya uwanja(makombe na gharama za uendeshaji).

Leo yanga walistahili kushangilia kiasi kile.
 
Shida sana
Hizi timu za kiswahili hizi? wataendelea kujikomba kwa matajiri hadi lini?

Mbaya zaidi zimeua timu za mikoa, mashirika mbalimbali, pamoja na taasisi za mpira

Ni jambo la kawaida mtu kuhujumu timu ya mkoa wake ili hizi timu mbili ambazo zinaathiri uchumi wa nchi, zinaletea watu uzuzu ws kufikiri.

Utakuta mchezaji kasajiliwa na timu tofauti na hizi lakini utasikia ni mshabiki wa timu hizi

Zimeua michezo tofauti na soka, viwanja vya michezo mingine havipo

Mtoto anazaliwa anakosa alternative ya mchezo hata angekuwa ana kipaji cha volleyball, basket, handbal, tenis, riadha nk hana sehemu ya kujiendeleza kila mtu anayekutana naye ni maneno ya SIMBA,YANGA, MYAMA, UTOPOLO,
 
Hizi timu za kiswahili hizi? wataendelea kujikomba kwa matajiri hadi lini?

Mbaya zaidi zimeua timu za mikoa, mashirika mbalimbali, pamoja na taasisi za mpira

Ni jambo la kawaida mtu kuhujumu timu ya mkoa wake ili hizi timu mbili ambazo zinaathiri uchumi wa nchi, zinaletea watu uzuzu ws kufikiri.

Utakuta mchezaji kasajiliwa na timu tofauti na hizi lakini utasikia ni mshabiki wa timu hizi

Zimeua michezo tofauti na soka, viwanja vya michezo mingine havipo

Mtoto anazaliwa anakosa alternative ya mchezo hata angekuwa ana kipaji cha volleyball, basket, handbal, tenis, riadha nk hana sehemu ya kujiendeleza kila mtu anayekutana naye ni maneno ya SIMBA,YANGA, MYAMA, UTOPOLO,
Chelsea, liver, Manu, Arsenal, Mancity, PSG kwahiyo nazo ni timu za kijinga?
 
Back
Top Bottom