adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,477
- 4,270
Hujawasikia huko mitaani. Kama hujui mashabiki wa Tanzania uliza kwanza huwa hawajui neno mchakato. Wao wakisikia usajili wanawaza ubingwa?Sasa matusi ya nini, mkuu si ndio wameanza, tatizo nini Manji kuwepo au. Huu ni mwanzo tu kwahiyo wasifurahi?