- Thread starter
- #81
Blah BlahNdio maana chadema hii itaendelea kuwa chama cha upinzani dhidi ya chama chenye hatamu.
Blah BlahNdio maana chadema hii itaendelea kuwa chama cha upinzani dhidi ya chama chenye hatamu.
CCM itawakilishwa na mh Mwita WaitaraAnatakowa kuwepo ndiyo maana wakuu wote wa vyama vya siasa wamealikwa
Hopeless sio tusi. Ni "adjective" mkuu.Tukana tu sanasana inaonyesha upeo wako ulipo
CDM inachozungumzia ni wanachama na si wapiga kuraHahahaaaaa.......hao ni wapiga kura wa Lowassa!
Anakaribishwa sanaCCM itawakilishwa na mh Mwita Waitara
Kwani ukitoa hoja kwa Adabu kuna Tatizo gani?Hopeless sio tusi. Ni "adjective" mkuu.
Kwa hiyo halmashauri kuu ya ccm imefanyikia kwenye Tembe/nyumba ya matope wanakoishi wanaccm wengi zaidi tz hewa kabisa weweKwanini mnafanyia mkutano maeneo ya kifahari ili hali wapiga kura wenu ni maskini
Inaboa sana kwa kweli
Kwa nini unafukiri si sahihi kusema atalihutubia taifa hasa ukizingatia kuwa atakuwa mubashara kwa kila mtanzania atakayetune in kumsikia na kumuona?SAHIHISHA HAPO WEKA ATAHUTUBIA WANACHAMA SI KUHUTUBIA TAIFA
Wasio wanachama ndio Taifa naona uelewa nakupiga chenga kidogoSAHIHISHA HAPO WEKA ATAHUTUBIA WANACHAMA SI KUHUTUBIA TAIFA
Mkuu msamehe tu huyo.HajitambuiKwa hiyo halmashauri kuu ya ccm imefanyikia kwenye Tembe/nyumba ya matope wanakoishi wack wengi zaidi tz hewa kabisa wewe
Kwa hali ilivyo mfanyabiashara gani atathubutu kukubali Chadema wafanye mkutano wao kwenye ukumbi/hoteli yake?Kwanini mnafanyia mkutano maeneo ya kifahari ili hali wapiga kura wenu ni maskini
Inaboa sana kwa kweli
Chadema ina wanachama laki nane na kidogo........wale wa Lowassa akina Mgeja walishatupa hayo makadi ya Ufipa na kurejea CCM!CDM inachozungumzia ni wanachama na si wapiga kura
Kwamba Chadema ni majambazi au?!Kwa hali ilivyo mfanyabiashara gani atathubutu kukubali Chadema wafanye mkutano wao kwenye ukumbi/hoteli yake?
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoka muda huu Mlimani City....hali ya kawaida sana usiwadanganye wa mikoani.Itakuwa historia.Ndivyo tunavyoweza kusema kwani mkutano mkuu wa CHADEMA Desemba 18 utahudhuriwa na taasisi na mashirika makubwa ya ndani na nje ya nchi pengine kwa mara ya kwanza katika historia ya mikutano mikuu ya vyama.
Chanzo kimoja cha Taarifa kutoka ndani ya chama hicho chenye wanachama milioni 6 ni kwamba tayari mabalozi 14 wanaowakilisha nchi zao hapa nchini wamethibitisha kushiriki mkutano huo wakiwemo mabalozi wa mataifa makubwa duniani.
Pia inadaiwa Taasisi na mashirika mbalimbali zaidi ya 19 tayari yamethibitisha kushiriki katika mkutano mkuu huo ambao umekuwa gumzo ndani na nje ya nchi kwa Takribani mwezi mmoja sasa.Mojawapo ya Taasisi kubwa duniani inayotarajiwa kutuma wawakilishi wake ni Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International
Pia wanazuoni,viongozi wa dini,wafanyabiashara wakubwa,vyama vya siasa na watu kadhaa mashuhuri wamepewa mialiko kuhudhuria mkutano mkuu huo.
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe anatarajiwa kulihutubia Taifa kupitia mkutano mkuu katika hotuba inayotarajiwa kuchukua saa mbili.Katika hotuba hiyo Mbowe anatarajiwa kuhitimisha utawala wake wa miaka mitano na kutoa mwelekeo wa chama hicho kwa miaka ijayo.
Katika kuelekea mkutano mkuu wa Desemba 18 ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ya Mlimani City ulipo ukumbi utakaotumika huku askari waliovalia kiraia na wenye sare wakionekana kurandaranda wakiwemo vijana wa ulinzi wa chama hicho Red Brigade.
Na huo ndiyo mshangaoIkiwa hao mabalozi na mashirika mengine ya kimataifa watashiriki huo mkutano mkuu wa Chadema na kishindo chake kuvuma kiasi kosa linatokana na CCM wenyewe na serikali yake. Binafsi sitashangazwa na kishindo hicho kwa sababu kila mwenye akili timamu anaona jinsi Chadema na wapinzani wanavyominywa.
Binafsi huwa nashangaa na kujiuliza hii hofu ya serikali kwa wapinzani inatokana na nini wakati Watanzania wanaona jinsi JPM na serikali yake wanavyojitahidi kufanya kazi nzuri kuliko matarajio tuliyokuwa nayo awali.
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sanaKwa nini unafukiri si sahihi kusema atalihutubia taifa hasa ukizingatia kuwa atakuwa mubashara kwa kila mtanzania atakayetune in kumsikia na kumuona?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ujinga nao ni kipajiChadema ina wanachama laki nane na kidogo........wale wa Lowassa akina Mgeja walishatupa hayo makadi ya Ufipa na kurejea CCM!