geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 647
Ni afadhali wewe bwana Issenye umeeleza historia nzima ya makampuni haya tangu kuanzishwa kwake, kuuziana kijanja janja, hukumu za mahakama za nchini hapa na makubaliano ya wamiliki kuhusu kesi za mbeleni kusikilizwa na mahakama za kimataifa.
Hapo kwa kweli unaweza kuuona wazi ukwepaji wa kodi za serikali na uvunwaji wa sheria wa mahakama zetu kuhalalisha ufisadi kufanyika.
Sasa nimebadili mwelekeo na nasubiri hiyo tar 28/11 bunge liwake moto na tumbili atafahamika.
Hapo kwa kweli unaweza kuuona wazi ukwepaji wa kodi za serikali na uvunwaji wa sheria wa mahakama zetu kuhalalisha ufisadi kufanyika.
Sasa nimebadili mwelekeo na nasubiri hiyo tar 28/11 bunge liwake moto na tumbili atafahamika.