Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,149
- 2,784
Embu hizi shule na vyuo vifunguliwe Tu.... Hivi na wewe unaona umechangia?Kishindo kipi hapo zaidi ya kunyoa kipara ngoto
Tatizo la baadhi ya Watanzania wanaangalia ni nani kachangia kutoa maelezo badala ya kukipa kipaumbele kilichozungumzwa
Unajua hili janga la Corona lina effect gani kwenye sector ya afya..... Sanitizer iliyokuwa inauzwa 20000 saizi laki 120 na bado unazungumza utumbo humu?
Badilika mkuu
Foolish
Sent using Jamii Forums mobile app