Kishimba: Asilimia 90 ya Wataalam wetu wanajua tu Kusoma na kuandika lakini hawana Maarifa yoyote!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
86,423
147,100
Mbunge wa Kahama Kishimba amesema 90% ya Wataalam wetu wanajua Kusoma na Kuandika lakini hawana Maarifa yoyote

Kishimba amesema mambo mengi ya maendeleo Kule chini yamekwamishwa na hao wanaojiita Wataalam

Kishimba amesema mfano fedha yote aliyotoa mama Samia kwa ajili ya ujenzi wa Shule zaidi ya tsh trillion 1 na ushee ambayo ni mkopo wameenda kumpa Dangote na Wachina wa ALAF ilhali Matofari ya kuchoma ni Bora na kuna Majengo ya Shule na Makanisa Yana zaidi ya miaka 100 sasa

Kishimba Amelia Kuwa watakaolopa fedha ya mkopo aliyopewa Dangote ni Watoto na Wajukuu zetu, tujaribu kuwahurumia

Source Bungeni
 
Mbunge wa Kahama mh Kishimba amesema 90% ya Wataalam wetu wanajua Kusoma na Kuandika lakini hawana Maarifa yoyote

Kishimba amesema mambo mengi ya maendeleo Kule chini yamekwamishwa na hao wanaojiita Wataalam

Kishimba amesema mfano fedha yote aliyotoa mama Samia kwa ajili ya ujenzi wa Shule zaidi ya tsh trillion 1 na ushee ambayo ni mkopo wameenda kumpa Dangote na Wachina wa ALAF ilhali Matofari ya kuchoma ni Bora na kuna Majengo ya Shule na Makanisa Yana zaidi ya miaka 100 sasa

Kishimba Amelia Kuwa watakaolopa fedha ya mkopo aliyopewa Dangote ni Watoto na Wajukuu zetu, tujaribu kuwahurumia

Source Bungeni
Huyu mheshimiwa ni genius !
 
Kishimba anapenda kutupa lawama sana kwa watalam na wasomi, surprising hii Ni sifa mojawapo ya mtu mjinga. Huyu mzee Ni mjinga sana, bila shaka atakuwa ana Matako makubwa!
mara kadhaaa anaongea moshii mwingi sana uliochanganyikana na uwoga, kutokujiamini , makelelee... Hovyooo
 
Mbunge wa Kahama Kishimba amesema 90% ya Wataalam wetu wanajua Kusoma na Kuandika lakini hawana Maarifa yoyote

Kishimba amesema mambo mengi ya maendeleo Kule chini yamekwamishwa na hao wanaojiita Wataalam

Kishimba amesema mfano fedha yote aliyotoa mama Samia kwa ajili ya ujenzi wa Shule zaidi ya tsh trillion 1 na ushee ambayo ni mkopo wameenda kumpa Dangote na Wachina wa ALAF ilhali Matofari ya kuchoma ni Bora na kuna Majengo ya Shule na Makanisa Yana zaidi ya miaka 100 sasa

Kishimba Amelia Kuwa watakaolopa fedha ya mkopo aliyopewa Dangote ni Watoto na Wajukuu zetu, tujaribu kuwahurumia

Source Bungeni
Huo ndio ukweli porojo nyingi lakini maar ifa hawana, wanawaambia graduates wajiajiri huku wao wakistaafu tu wanashindwa kumudu maisha ya mtaani wanakufa ,hovyo kabisa
 
Mbunge wa Kahama Kishimba amesema 90% ya Wataalam wetu wanajua Kusoma na Kuandika lakini hawana Maarifa yoyote

Kishimba amesema mambo mengi ya maendeleo Kule chini yamekwamishwa na hao wanaojiita Wataalam

Kishimba amesema mfano fedha yote aliyotoa mama Samia kwa ajili ya ujenzi wa Shule zaidi ya tsh trillion 1 na ushee ambayo ni mkopo wameenda kumpa Dangote na Wachina wa ALAF ilhali Matofari ya kuchoma ni Bora na kuna Majengo ya Shule na Makanisa Yana zaidi ya miaka 100 sasa

Kishimba Amelia Kuwa watakaolopa fedha ya mkopo aliyopewa Dangote ni Watoto na Wajukuu zetu, tujaribu kuwahurumia

Source Bungeni

Okay, sasa tunaomba taarifa ya utafiti wake.
 
Mbunge wa Kahama Kishimba amesema 90% ya Wataalam wetu wanajua Kusoma na Kuandika lakini hawana Maarifa yoyote

Kishimba amesema mambo mengi ya maendeleo Kule chini yamekwamishwa na hao wanaojiita Wataalam

Kishimba amesema mfano fedha yote aliyotoa mama Samia kwa ajili ya ujenzi wa Shule zaidi ya tsh trillion 1 na ushee ambayo ni mkopo wameenda kumpa Dangote na Wachina wa ALAF ilhali Matofari ya kuchoma ni Bora na kuna Majengo ya Shule na Makanisa Yana zaidi ya miaka 100 sasa

Kishimba Amelia Kuwa watakaolopa fedha ya mkopo aliyopewa Dangote ni Watoto na Wajukuu zetu, tujaribu kuwahurumia

Source Bungen

Tumekuzalia watoto, tumekuletea shuleni uwafundishe na uwape maarifa. Ukafanya hiyo kazi, ukatoa cheti kua huyu mtu ana maarifa, ukafanya interview ukampa kazi ghafla tena una sema 90% hana maarifa huoni kama unajitukana.

Kama politics haziendi, hakuna kitakacho enda.
 
Mbunge wa Kahama Kishimba amesema 90% ya Wataalam wetu wanajua Kusoma na Kuandika lakini hawana Maarifa yoyote

Kishimba amesema mambo mengi ya maendeleo Kule chini yamekwamishwa na hao wanaojiita Wataalam

Kishimba amesema mfano fedha yote aliyotoa mama Samia kwa ajili ya ujenzi wa Shule zaidi ya tsh trillion 1 na ushee ambayo ni mkopo wameenda kumpa Dangote na Wachina wa ALAF ilhali Matofari ya kuchoma ni Bora na kuna Majengo ya Shule na Makanisa Yana zaidi ya miaka 100 sasa

Kishimba Amelia Kuwa watakaolopa fedha ya mkopo aliyopewa Dangote ni Watoto na Wajukuu zetu, tujaribu kuwahurumia

Source Bungeni
Kuandaa matofali ya kutosha kujenga shule au zahanati kunahitaji msimu mmoja wa miezi sita. Fedha za maendeleo zinatolewa kwa mpango wa zima moto tena katikati ya mwaka wa fedha, wakichelewa kuzitumia ni nongwa na pengine wanavuliwa madaraka au kufukuzwa kazi. Hivyo ni heri wawanufaishe Wachina na Dangote wabaki salama.
 
Wewe kwa akili yako unaamini Kishimba ana gari ya mkopo? Kwenye Real Estate hakuna Mbunge anamkuta humo!
Na wewe kwa akili yako unaona Kishimba amekataa gari ya mkopo?. Na hio real estate yake haina mkopo hatowacha deni kwa kizazi chake?.
 
Kuandaa matofali ya kutosha kujenga shule au zahanati kunahitaji msimu mmoja wa miezi sita. Fedha za maendeleo zinatolewa kwa mpango wa zima moto tena katikati ya mwaka wa fedha, wakichelewa kuzitumia ni nongwa na pengine wanavuliwa madaraka au kufukuzwa kazi. Hivyo ni heri wawanufaishe Wachina na Dangote wabaki salama.
Mipango inatakiwa kuanzua juu, hivi kweli unaona ni sahihi kununua nguzo za umeme kutoka nje ya nchi?si ni upumbavu
 
Back
Top Bottom