Jumanne Kishimba: Asilimia 90 ya wataalam wetu wanajua kusoma na kuandika ila hawana maarifa

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,495
2,043
Akichangia bungeni leo mbunge huyo wa kahama ameshangazwa na namna wataalamu wetu wanaacha mambo ya kuwasaidia wananchi na kuiga mambo na kufanya kwa kufuata mkumbo badala ya kutumia akili zao kufikiri namna ya kuwarahisishia maisha wananchi.
Ametoa mfano wa baadhi ya mambo yanayofanywa bila kutumia maarifa ni pamoja na kuwaleta polisi kulinda watahiniwa wa shule ya msingi au sekondari.
Suala lingine alizungumzia jinsi wataalam walivyozuia utengenezaji wa cement ya shs 5000 kwa hoja kwamba maghorofa yataanguka, akauliza kwani wananchi wa kawaida wanajenga maghorofa?
 
Akichangia bungeni leo mbunge huyo wa kahama ameshangazwa na namna wataalamu wetu wanaacha mambo ya kuwasaidia wananchi na kuiga mambo na kufanya kwa kufuata mkumbo badala ya kutumia akili zao kufikiri namna ya kuwarahisishia maisha wananchi.
Ametoa mfano wa baadhi ya mambo yanayofanywa bila kutumia maarifa ni pamoja na kuwaleta polisi kulinda watahiniwa wa shule ya msingi au sekondari.
Suala lingine alizungumzia jinsi wataalam walivyozuia utengenezaji wa cement ya shs 5000 kwa hoja kwamba maghorofa yataanguka, akauliza kwani wananchi wa kawaida wanajenga maghorofa?
Wasukuma ni watu wenye akili sana aisee......
 
ana jopo la wataalam wanaompatia madini ya kutema hapo bungeni ili aonekane kipanga kumbe utajiri wa makafara & madamu
 
Akichangia bungeni leo mbunge huyo wa kahama ameshangazwa na namna wataalamu wetu wanaacha mambo ya kuwasaidia wananchi na kuiga mambo na kufanya kwa kufuata mkumbo badala ya kutumia akili zao kufikiri namna ya kuwarahisishia maisha wananchi.
Ametoa mfano wa baadhi ya mambo yanayofanywa bila kutumia maarifa ni pamoja na kuwaleta polisi kulinda watahiniwa wa shule ya msingi au sekondari.
Suala lingine alizungumzia jinsi wataalam walivyozuia utengenezaji wa cement ya shs 5000 kwa hoja kwamba maghorofa yataanguka, akauliza kwani wananchi wa kawaida wanajenga maghorofa?
Ubora wa elimu si mbaya, naunnga Mkono hoja. ubaya upo kkwa haw waliotahiniwa ni Ni vikaragosi vizur tu makazin
 
Akichangia bungeni leo mbunge huyo wa kahama ameshangazwa na namna wataalamu wetu wanaacha mambo ya kuwasaidia wananchi na kuiga mambo na kufanya kwa kufuata mkumbo badala ya kutumia akili zao kufikiri namna ya kuwarahisishia maisha wananchi.
Ametoa mfano wa baadhi ya mambo yanayofanywa bila kutumia maarifa ni pamoja na kuwaleta polisi kulinda watahiniwa wa shule ya msingi au sekondari.
Suala lingine alizungumzia jinsi wataalam walivyozuia utengenezaji wa cement ya shs 5000 kwa hoja kwamba maghorofa yataanguka, akauliza kwani wananchi wa kawaida wanajenga maghorofa?
Hata suala la ajira ya kudumu ni tatizo tuwe na ajira za mkataba renewable ... Hata Mimi mtumishi litanikuta...Kwa sasa tunafanya kazi Kwa mazoea.
 
Std seven wenye akili amebaki Kishimba, King Musukuma anajiona yupo level ya akina Sospeter Muhongo baada ya kupewa udokta feki na wahuni!
 
Back
Top Bottom