Kisha mfalme akawajibu, "yule aliye kilaza kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkuu kuliko wote, muigeni yeye" kuwashwa ( 9:13 -21 )
Hahah... Injili ya Faru kama ilivyoandikwa na Paulo mtakatifu, sura za katikati huko.mkuu inatoka katika kitabu gani?
Huruka pamoja.....Ndege wafananao.......
HahahWaraka wa kwanza wa mtume pombe kwa wagerasi. 2Wapowa 6:12
Hahah... Ni maandiko mkuu. Aliyasema kweli. Mtume wetu, tuliyemtuma watz.Umenichekesha jioni hii.Mnatoa wapi hivi vituko.?
Baas wanafunzi wake wakamfuata na kumuuliza: ee baba, mbona hatukuwaacha waliotukuka kama huyu mwanao wakati wa uhakiki? Naye akajibu, amin nawaambia, sijaja kutafuta mchumba.
Walifadhaika mioyoni; walitamani wamuulize kama yeye ni yule aliyetabiriwa, au tumsubiri mwingine. Lakini wakafunguliwa, Tazama! Jibu walishalipata.Hata muda wake ulipokwisha, kuhani mkuu akajinadi kwa wanafunzi wake.Je hamuoni ni vema mkanipigia kura tena! Nao wakajibu huku wakitazama chini, kwa kuwa hukuja kutafuta mchumba basi ya mkeo kura yatosha.
Jf ni kisima cha burudani.Kisha mfalme akawajibu, "yule aliye kilaza kuliko wote kati yenu ndiye aliye mkuu kuliko wote, muigeni yeye" kuwashwa ( 9:13 -21 )