Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
- Thread starter
- #41
Kwahiyo kwa sasa unakipata na kukitumia kwa urahisi??Ukiongea kisamvu natamani niseme lakini najua nitajulikana hivyo sisemi. Watu tumeenda mpaka kusaka mbegu mpaka nchi za watu, kisa, tulipo hakilimwi. Nilishalima kisamvu kwenye pipa nchi fulani nikamwonjesha mwenye nyumba wangu, siku naonodoka alipiga marufuku mtu asiguse. Kisamvu ni ugonjwa wangu ila ina maana nina nutrients fulani nazimiss kwenye mwil zinazonifanya nikitafute sana. Unavyoona mama mwenye mimba anakula udongo ndo mimi na kisamvu which means there are vitamins I am looking for from those leaves. Nilipandisha miti kwenye ndege lakini watu wa airport huku ughaibuni walinielewa na walijua ni mumu kwa mumu nchi jirani ila Ulaya nisingefika.