Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Hivi huyu Lowassa ni nani katika nchi hii, ambaye pamoja na kuitwa fisadi mkuu, lakini bado yupo huru katika utawala unaopambana na ufisadi?Na hili linadhihirishwa na kumkumbatia Lowassa,ni somo tosha tu kuwa sio watu wa kucheka nao hata dakika moja.
Kimantiki, si alipaswa awe angalau ashafikishwa Mahakamani?
Ebu ni-enlighten chifu..