Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,800
- 71,222
Kama tunaambiwa kauli ya Rais ni sheria basi haya yaliyomfanya DCI Kingai kumuita Lissu yalisha wahi kusemwa na Magufuli kuhusu kusaini mikataba kijinga.
Kwa hiyo Lissu alikuwa anarejea kauli ya Rais Magufuli kuwa akili za yeyote anayeweza kupitisha mikataba mibovu kama huu ni za kijinga hivyo ni sawa na matope.
Kwa hiyo Lissu alikuwa anarejea kauli ya Rais Magufuli kuwa akili za yeyote anayeweza kupitisha mikataba mibovu kama huu ni za kijinga hivyo ni sawa na matope.