Kisa cha mpangaji mjaluo aliyewageuka wenye nyumba alizopanga na kuzichukua yeye mahakamani

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,118
27,121
Leo nimekutana na binti wa mjaluo huyo na kugundua kwamba kumbe ameshafariki tangu 2015.

Nilimfahamu mjaluo huyu mwaka 2005 au 2006 hivi alikuja kupanga nyumbani kwetu.

Mshua wangu hakuwahi kumfahamu vizuri mjaluo yule.

Ni hivi huyu mjaluo ambae kazi yake ilisemekana ilikuwa ni uvuvi alikuwa anaenda kupanga kwenye nyumba ya mtu. Mwenye nyumba ukiwa mstaarabu hana shida na wewe na ataonyesha ushirikiano wa kutosha. Ila mwenye nyumba ukiwa mkorofi (more especially towards him) basi atakacho kifanya ni ku demonstrate behaviours ambazo zita mpush mwenye nyumba kutoa notice.

Atakacho kifanya baada ya kupewa notice siku ya kuondoka ikifika anakuwa hayupo yeye wala familia yake yani nyumba inakuwa haina mtu anazima na simu zake zinakuwa hazipatikani..

Atakacho kifanya mwenye nyumba baada ya jamaa kutokuonekana ni kwenda kwa mjumbe kisha kuvunja mlango na kutoa vitu ndani.

Jamaa akisha jidhihirisha kwamba vitu vyake vimetolewa ndani atakaa kama wiki tatu then atarudi kwenye nyumba/chumna chake.

Akifika ataomba funguo kwa mwenye nyumba, mwenye nyumba atamwambia vitu vyako vimetolewa na chumba kapewa mtu. Jamaa ata act kuwa surprised ataomba kuonyeshwa vitu vyake atavikagua then ataenda polisi halafu atakuja na polisi atasema kwenye vitu vyake kuna kifaa kimoja cha kwenye boti zake au kazi zake za uvuvi hakionekani. Gharama za kifaa hicho ni shilingi milioni 67. Atataka alipwe pesa yake. ( Risiti za kununua hicho kifaa atakuwa nazo) then kesi itakwenda mahakamani atashinda kesi, mwenye nyumba atakosa hela ya kumlipa jamaa so itabidi achukue nyumba.

Kwa staili hii jamaa alidhulumu nyumba kama nne hapa mjini na alikuwa na kesi nyingine mahakani zaidi ya saba ambazo alikuwa anapambana na wenye nyumba.

Kuhusu kifo chake: Alikufa akiwa tayari kakabidhiwa ushindi kwenye kesi ya nyumba na kilichokuwa kimebakia nj execution tu so inasemekana mwenye nyumba alikuwa mchawi kumzidi jamaa akampa jamaa thank you.

Watoto wa jamaa hawakutaka kuendelea tena na kesi na hata hizo nyumba nne alizo shinda kesi wameshindwa kuzifanyia chochote wamezirejesha kwa wamiliki halali..

Umri wa jamaa: By that time a( 2005) alikuwa na kama 50 hivi cause alikuwa ana muita dingi yangu bro na dingi yangu alikuwa na 55 mwaka huo.

Jasho la mtu achana nalo
 
Leo nimekutana na binti wa mjaluo huyo na kugundua kwamba kumbe ameshafariki tangu 2015.

Nilimfahamu mjaluo huyu mwaka 2005 au 2006 hivi alikuja kupanga nyumbani kwetu.

Mshua wangu hakuwahi kumfahamu vizuri mjaluo yule.


Ni hivi huyu mjaluo ambae kazi yake ilisemekana ilikuwa ni uvuvi alikuwa anaenda kupanga kwenye nyumba ya mtu.Mwenye nyumba ukiwa mstaarabu hana shida na wewe na ataonyesha ushirikiano wa kutosha. Ila mwenye nyumba ukiwa mkorofi ( more especially towards him) basi atakacho kifanya ni ku demonstrate behaviours ambazo zita mpush mwenye nyumba kutoa notice.

Atakacho kifanya baada ya kupewa notice siku ya kuondoka ikifika anakuwa hayupo yeye wala familia yake yani nyumba inakuwa haina mtu anazima na simu zake zinakuwa hazipatikani..

Atakacho kifanya mwenye nyumba baada ya jamaa kutokuonekana ni kwenda kwa mjumbe kisha kuvunja mlango na kutoa vitu ndani.

Jamaa akisha jidhihirisha kwamba vitu vyake vimetolewa ndani atakaa kama wiki tatu then atarudi kwenye nyumba/chumna chake.

Akifika ataomba funguo kwa mwenye nyumba, mwenye nyumba atamwambia vitu vyako vimetolewa na chumba kapewa mtu. Jamaa ata act kuwa surprised ataomba kuonyeshwa vitu vyake atavikagua then ataenda polisi halafu atakuja na polisi atasema kwenye vitu vyake kuna kifaa kimoja cha kwenye boti zake au kazi zake za uvuvi hakionekani. Gharama za kifaa hicho ni shilingi milioni 67. Atataka alipwe pesa yake. ( Risiti za kununua hicho kifaa atakuwa nazo) then kesi itakwenda mahakamani atashinda kesi, mwenye nyumba atakosa hela ya kumlipa jamaa so itabidi achukue nyumba.

Kwa staili hii jamaa alidhulumu nyumba kama nne hapa mjini na alikuwa na kesi nyingine mahakani zaidi ya saba ambazo alikuwa anapambana na wenye nyumba.

Kuhusu kifo chake: Alikufa akiwa tayari kakabidhiwa ushindi kwenye kesi ya nyumba na kilichokuwa kimebakia nj execution tu so inasemekana mwenye nyumba alikuwa mchawi kumzidi jamaa akampa jamaa thank you.

Watoto wa jamaa.hawakutaka kuendelea tena na kesi na hata hizo nyumba nne alizo shinda kesi wameshindwa kuzifanyia chochote wamezirejesha kwa wamiliki halali..


Umri wa jamaa: By that time a( 2005) alikuwa na kama 50 hivi cause alikuwa ana muita dingi yangu bro na dingi yangu alikuwa na 55 mwaka.huo.


# Jasho la mtu achana nalo
Chai
Chai
Chai
Chai
Chai
Chai
JamiiForums610052602.gif


Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Leo nimekutana na binti wa mjaluo huyo na kugundua kwamba kumbe ameshafariki tangu 2015.

Nilimfahamu mjaluo huyu mwaka 2005 au 2006 hivi alikuja kupanga nyumbani kwetu.

Mshua wangu hakuwahi kumfahamu vizuri mjaluo yule.


Ni hivi huyu mjaluo ambae kazi yake ilisemekana ilikuwa ni uvuvi alikuwa anaenda kupanga kwenye nyumba ya mtu.Mwenye nyumba ukiwa mstaarabu hana shida na wewe na ataonyesha ushirikiano wa kutosha. Ila mwenye nyumba ukiwa mkorofi ( more especially towards him) basi atakacho kifanya ni ku demonstrate behaviours ambazo zita mpush mwenye nyumba kutoa notice.

Atakacho kifanya baada ya kupewa notice siku ya kuondoka ikifika anakuwa hayupo yeye wala familia yake yani nyumba inakuwa haina mtu anazima na simu zake zinakuwa hazipatikani..

Atakacho kifanya mwenye nyumba baada ya jamaa kutokuonekana ni kwenda kwa mjumbe kisha kuvunja mlango na kutoa vitu ndani.

Jamaa akisha jidhihirisha kwamba vitu vyake vimetolewa ndani atakaa kama wiki tatu then atarudi kwenye nyumba/chumna chake.

Akifika ataomba funguo kwa mwenye nyumba, mwenye nyumba atamwambia vitu vyako vimetolewa na chumba kapewa mtu. Jamaa ata act kuwa surprised ataomba kuonyeshwa vitu vyake atavikagua then ataenda polisi halafu atakuja na polisi atasema kwenye vitu vyake kuna kifaa kimoja cha kwenye boti zake au kazi zake za uvuvi hakionekani. Gharama za kifaa hicho ni shilingi milioni 67. Atataka alipwe pesa yake. ( Risiti za kununua hicho kifaa atakuwa nazo) then kesi itakwenda mahakamani atashinda kesi, mwenye nyumba atakosa hela ya kumlipa jamaa so itabidi achukue nyumba.

Kwa staili hii jamaa alidhulumu nyumba kama nne hapa mjini na alikuwa na kesi nyingine mahakani zaidi ya saba ambazo alikuwa anapambana na wenye nyumba.

Kuhusu kifo chake: Alikufa akiwa tayari kakabidhiwa ushindi kwenye kesi ya nyumba na kilichokuwa kimebakia nj execution tu so inasemekana mwenye nyumba alikuwa mchawi kumzidi jamaa akampa jamaa thank you.

Watoto wa jamaa.hawakutaka kuendelea tena na kesi na hata hizo nyumba nne alizo shinda kesi wameshindwa kuzifanyia chochote wamezirejesha kwa wamiliki halali..


Umri wa jamaa: By that time a( 2005) alikuwa na kama 50 hivi cause alikuwa ana muita dingi yangu bro na dingi yangu alikuwa na 55 mwaka.huo.


# Jasho la mtu achana nalo
20211219_202239.jpg
 
Leo nimekutana na binti wa mjaluo huyo na kugundua kwamba kumbe ameshafariki tangu 2015.

Nilimfahamu mjaluo huyu mwaka 2005 au 2006 hivi alikuja kupanga nyumbani kwetu.

Mshua wangu hakuwahi kumfahamu vizuri mjaluo yule.


Ni hivi huyu mjaluo ambae kazi yake ilisemekana ilikuwa ni uvuvi alikuwa anaenda kupanga kwenye nyumba ya mtu.Mwenye nyumba ukiwa mstaarabu hana shida na wewe na ataonyesha ushirikiano wa kutosha. Ila mwenye nyumba ukiwa mkorofi ( more especially towards him) basi atakacho kifanya ni ku demonstrate behaviours ambazo zita mpush mwenye nyumba kutoa notice.

Atakacho kifanya baada ya kupewa notice siku ya kuondoka ikifika anakuwa hayupo yeye wala familia yake yani nyumba inakuwa haina mtu anazima na simu zake zinakuwa hazipatikani..

Atakacho kifanya mwenye nyumba baada ya jamaa kutokuonekana ni kwenda kwa mjumbe kisha kuvunja mlango na kutoa vitu ndani.

Jamaa akisha jidhihirisha kwamba vitu vyake vimetolewa ndani atakaa kama wiki tatu then atarudi kwenye nyumba/chumna chake.

Akifika ataomba funguo kwa mwenye nyumba, mwenye nyumba atamwambia vitu vyako vimetolewa na chumba kapewa mtu. Jamaa ata act kuwa surprised ataomba kuonyeshwa vitu vyake atavikagua then ataenda polisi halafu atakuja na polisi atasema kwenye vitu vyake kuna kifaa kimoja cha kwenye boti zake au kazi zake za uvuvi hakionekani. Gharama za kifaa hicho ni shilingi milioni 67. Atataka alipwe pesa yake. ( Risiti za kununua hicho kifaa atakuwa nazo) then kesi itakwenda mahakamani atashinda kesi, mwenye nyumba atakosa hela ya kumlipa jamaa so itabidi achukue nyumba.

Kwa staili hii jamaa alidhulumu nyumba kama nne hapa mjini na alikuwa na kesi nyingine mahakani zaidi ya saba ambazo alikuwa anapambana na wenye nyumba.

Kuhusu kifo chake: Alikufa akiwa tayari kakabidhiwa ushindi kwenye kesi ya nyumba na kilichokuwa kimebakia nj execution tu so inasemekana mwenye nyumba alikuwa mchawi kumzidi jamaa akampa jamaa thank you.

Watoto wa jamaa.hawakutaka kuendelea tena na kesi na hata hizo nyumba nne alizo shinda kesi wameshindwa kuzifanyia chochote wamezirejesha kwa wamiliki halali..


Umri wa jamaa: By that time a( 2005) alikuwa na kama 50 hivi cause alikuwa ana muita dingi yangu bro na dingi yangu alikuwa na 55 mwaka.huo.


# Jasho la mtu achana nalo
Tatizo lililokukuta wew hata mim linanisumbua mno


Unakua na aidia nzur ya stor lkn ukiiweka kwenye maandish unakua utopolo mtupu mpaka mim mwenyew huwa naishangaa kwa namna stor inavyokosa mvuto


Najiulizaga hawa washenz kina umughaka,jack Daniel, apostle na wajinga wengine wengine wanawezaje kuandika stor inakua na mvuto hadi raha yaaaaaaan
 
Kumbe boti za wavuvi ziko na vifaa ghali namna hiyo? Milioni 67?

Nilikua sifahamu chief!

Alikuwa ana claim hivyo haimaanishi ndo ilikuwa bei yake kweli yani ni sawa na wewe uibiwe pochi halafu useme ilikuwa na shilingi milioni 2
 
Sasa kifaa kipotee faida ya kumuita balozi/mjumbe na shahidi ni Nini!?
Kimsingi hapo ni unakuta godoro lako na unajitwika unaenda
 
Back
Top Bottom