Kisa cha kweli: Wanaume tumeumbwa mateso

Kisa cha kweli: Wanaume tumeumbwa mateso

jembelamkono

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
2,733
Reaction score
2,021
Baada ya kuwa katika mgogoro mzito wa kifamilia (uliyonihusu mimi kuwa na wanawake wengine), aliyekua dada yetu wa kazi akawa ananifariji shemeji yake.
Dada huyu nililetewa kijijini na mama yangu.

Katika hali ya sintofahamu tukajikuta tunachat na hasa anakua ananishauri nipunguze jazba tukae tuyamalize.

Kutokana na kuwa na ukame baada ya mke wangu kuwa mjamzito nikaomba game kwa dada, bila hiyana akanipa show.

Siku hiyo tulijikuta tumebaki wote nyumbani, nae alikua na ukame kimtindo
Hee, baada ya kama one hour, mke wangu akaingia, mimi nilienda zangu kulala.

Mara papa naona simu kutoka kwa mama kijijini umemfanya nini dada wa watu? Nikakana futi 100 sijui lolote.

Sijakaa sawa mara msg ya dada, oohh mimi naumia nataka nirudi kwetu, sasa
nikabaki na mshangai, mbona mwanzo alinipa ushirikiano 100% sasa imekuaje tena? Nikamjibu tu kwani kuna nini?

Mbaya zaidi yeye alinisisitizia nifute chatting msg zetu, nashindwa kuelewa,
pengine zake hakufuta? Na kikubwa kamsimulia mpaka mdogo wake na mke tunayeishi nae hapa nyumbani na tunaheshimiana kwelikweli.

Sielewi akili yake iko sawasawa au ni mipango yao na mke wangu ukizingatia si mtoto mdogo maana tayari anamtoto wa takribani miaka 4.

Hapa niponipo tuu sijielewi kama stendi ya TV, hakuna anaenisemesha wala kupiga simu, nimevurugwa kwelikweki. Sijui akili zao zinaniwazia nini.
 
Baada ya kuwa ktk mgogoro mzito wa kifamilia(uliyonihusu Mimi kuwa na wanawake wengine),aliyekua dada yetu wa kazi akawa ananifariji shemeji yake.
Dada huyu nililetewa kijijini na mama yangu.
Katika hali ya sintofahamu tukajikuta tunachat na hasa anakua ananishauri nipungize jazba tukae tuyamalize.
Kutokana na kuwa na ukame baada ya wife kuwa mjamzito nikaomba game Kwa dada,bila hiyana akanipa show...[siku hiyo tulijikuta tumebaki wote nyumbani,nae alikua na ukame kimtindo]
Hee,baada ya kama one hour,wife akaingia,Mimi nilienda zangu kulala.
Mara papa naona sim kutoka Kwa Mama kijijini!!!umemfanya nini Dada wa watu??nikakana futi 100 sijui lolote!!
Sijakaa sawa mara msg ya dada,oohh mi naumia nataka nirudi kwetu,sasa
Nikabaki na mshangai,mbona mwanzo alinipa ushirikiano 100%sasa imekuaje tena?nikamjibu tu kwani kuna nini?
Mbaya zaidi yeye alinisisitizia nifute chatting msg zetu,nashindwa kuelewa,
Pengine zake hakufuta?na kikubwa kamsimulia mpaka mdogo wake na wife tunayeishi nae hapa nyumbani na tunaheshimiana kwelikweli.?
Sielewi akili yake iko sawasawa au nimipango yao na wife ukizingatia si mtoto mdogo maana tayari anamtoto wa takribani miaka 4.
Hapa niponipo tuu sijielewi kama stendi ya tivii,hakuna anaenisemesha wala kupiga simu,nmevurugwa kwelikweki..
Sijui akili zao zinaniwazia nini...
Shubamiitt..
Pole boss. Huyo mdada ana lengo akuharibie ndoa na amepanga haswaa huko alikotoka. Ndivyo baadhi ya wanawake walivyo. Na kama we na mke wako hampo stebo basi mnaweza kuachanishwa kirahisi sana. Lengo lake alilokusudia lishatimia na usikute anataka ndo awe mke hapo home baada ya mke kuondoka. Inabidi ukae uongee na wife umwambie kinagaubaga kuwa umemstukia huyo na ikiwezekana nyang'anya sim ufute Meseji zake au kama isha buma omba msamaha kwa wife
 
Pole boss. Huyo mdada ana lengo akuharibie ndoa na amepanga haswaa huko alikotoka. Ndivyo baadhi ya wanawake walivyo. Na kama we na mke wako hampo stebo basi mnaweza kuachanishwa kirahisi sana. Lengo lake alilokusudia lishatimia na usikute anataka ndo awe mke hapo home baada ya mke kuondoka. Inabidi ukae uongee na wife umwambie kinagaubaga kuwa umemstukia huyo na ikiwezekana nyang'anya sim ufute Meseji zake au kama isha buma omba msamaha kwa wife
Kajua kunichafua kwelikweli!!
 
Baada ya kuwa ktk mgogoro mzito wa kifamilia(uliyonihusu Mimi kuwa na wanawake wengine),aliyekua dada yetu wa kazi akawa ananifariji shemeji yake.
Dada huyu nililetewa kijijini na mama yangu.
Katika hali ya sintofahamu tukajikuta tunachat na hasa anakua ananishauri nipungize jazba tukae tuyamalize.
Kutokana na kuwa na ukame baada ya wife kuwa mjamzito nikaomba game Kwa dada,bila hiyana akanipa show...[siku hiyo tulijikuta tumebaki wote nyumbani,nae alikua na ukame kimtindo]
Hee,baada ya kama one hour,wife akaingia,Mimi nilienda zangu kulala.
Mara papa naona sim kutoka Kwa Mama kijijini!!!umemfanya nini Dada wa watu??nikakana futi 100 sijui lolote!!
Sijakaa sawa mara msg ya dada,oohh mi naumia nataka nirudi kwetu,sasa
Nikabaki na mshangai,mbona mwanzo alinipa ushirikiano 100%sasa imekuaje tena?nikamjibu tu kwani kuna nini?
Mbaya zaidi yeye alinisisitizia nifute chatting msg zetu,nashindwa kuelewa,
Pengine zake hakufuta?na kikubwa kamsimulia mpaka mdogo wake na wife tunayeishi nae hapa nyumbani na tunaheshimiana kwelikweli.?
Sielewi akili yake iko sawasawa au nimipango yao na wife ukizingatia si mtoto mdogo maana tayari anamtoto wa takribani miaka 4.
Hapa niponipo tuu sijielewi kama stendi ya tivii,hakuna anaenisemesha wala kupiga simu,nmevurugwa kwelikweki..
Sijui akili zao zinaniwazia nini...
Shubamiitt..
Wewe ni ; Kivuruge.
 
Kusema ukweli huyu aliniaandalia mazingira yote ya kunipa,tatizo kanigeuka.
 
Umbulula huo kufanyia ndani umeshindwa kumwambia afuate mboga kazini ulinunua jana ukasahau kuchukua unamalizana naye huko
 
Back
Top Bottom