balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,700
- 15,436
Siku ya jumatano, aliaga alikopanga Tabata. Njiani alisimamishwa na jamaa mmoja aliyekuwa anaendesha gari flani, yule jamaa akaomba namba ya simu kila mtu akaenda zake.
Huyu dada akapanda gari kwenda Ubungo mara yule jamaa akapiga simu na kumuomba ashuke na kwamba angemrusha kwenda Ubungo.
Jamaa kweli akafika dada akapanda.Walipofika kituo cha mafuta cha External,kulia as you are going to ubungo jamaa akaingia akanunua heinken ktk ki sub supasoko akampa moja mdada,dada alikataa kunywa lkn baadae akanywa then wakaingia external, shungashunga, mabibo hadi Sinza na baadae sayansi, wakasimama kununua chips.
Dada hakumbuki kilichofuata hadi mida ya saa tatu usiku alipojikuta yuko katikati ya watu kinyerezi mwisho. Wasamaria wakambeba bahati nzuri wakamfikisha kwenye grosery fulani ambako kna mtu alitokea kumfahamu, ikabidi watafute bodaboda ya kumfikisha kwake,asubuhi yake aliamka amevimba.
To cut the story short, walilamba simu, laki na nusu, cheni nk, baada ya vipimo dr alithibitisha hawakumtenda vibaya.
Nampa pole sana.
Huyu dada akapanda gari kwenda Ubungo mara yule jamaa akapiga simu na kumuomba ashuke na kwamba angemrusha kwenda Ubungo.
Jamaa kweli akafika dada akapanda.Walipofika kituo cha mafuta cha External,kulia as you are going to ubungo jamaa akaingia akanunua heinken ktk ki sub supasoko akampa moja mdada,dada alikataa kunywa lkn baadae akanywa then wakaingia external, shungashunga, mabibo hadi Sinza na baadae sayansi, wakasimama kununua chips.
Dada hakumbuki kilichofuata hadi mida ya saa tatu usiku alipojikuta yuko katikati ya watu kinyerezi mwisho. Wasamaria wakambeba bahati nzuri wakamfikisha kwenye grosery fulani ambako kna mtu alitokea kumfahamu, ikabidi watafute bodaboda ya kumfikisha kwake,asubuhi yake aliamka amevimba.
To cut the story short, walilamba simu, laki na nusu, cheni nk, baada ya vipimo dr alithibitisha hawakumtenda vibaya.
Nampa pole sana.