Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,014
- 9,883
Kirumbe amesema wabunge wanaogopa kuwa wataenda kusemwa kwenye madhabahu Jumapili, lakini yeye amejitoa dhabihu
Amesema wazi kuwa Gwajima ni mgeni hayajui masuala ya bunge lakini amejiweka mstari wa mbele na hakuweza kuthibitisha tuhuma zake