1976 Baada ya Mzee Ally Hassan Mwinyi kujiuzulu Uwaziri wa Mambo ya ndani alifukuzwa kwenye Nyumba ya Serikal aliyokuwa anaishi Ostybay
Kwa Kuwa Hakuwa na Nyumba binafsi Na alifukuzwa ndani ya saa 24 tangu kajiuzulu Na akapewa saa 48 awe ametoka ilikuwa adhalilike lakin akatokea Hayati Meya wa Zamani wa Dar Es salaam Mstahiki Kitwana Kondo akamkabidhi Nyumba yake aishi Na aliishi pale Kwa Muda wote aliokuwa Dar Es salaam mpaka akaenda Kuwa Rais wa Zanzibar
Ukijiuzulu Au kufukuzwa Kazima ukabidhi Kila kitu Mara Moja japo busara inapaswa kutumika kwenye baadhi ya vitu
Mzee Ally Hassan Mwinyi akiwa Rais aliwahi kumfukuza kazi aliekuwa Waziri wa kazi Na Maendeleo ya Vijana Ndugu Augustine Lyatonga Mrema akaamriwa akabidhi Kila kitu Mara Moja kasoro Nyumba aliyokuwa anaishi Masaki aliamuru aachwe aishi mpaka atakapopata pa kujisitiri Na hakutoka kwenye hiyo Nyumba mpaka Mwinyi anastaafu, alikuja kufurushwa alipoingia Mzee Mkapa
Kwa Kuwa Hakuwa na Nyumba binafsi Na alifukuzwa ndani ya saa 24 tangu kajiuzulu Na akapewa saa 48 awe ametoka ilikuwa adhalilike lakin akatokea Hayati Meya wa Zamani wa Dar Es salaam Mstahiki Kitwana Kondo akamkabidhi Nyumba yake aishi Na aliishi pale Kwa Muda wote aliokuwa Dar Es salaam mpaka akaenda Kuwa Rais wa Zanzibar
Ukijiuzulu Au kufukuzwa Kazima ukabidhi Kila kitu Mara Moja japo busara inapaswa kutumika kwenye baadhi ya vitu
Mzee Ally Hassan Mwinyi akiwa Rais aliwahi kumfukuza kazi aliekuwa Waziri wa kazi Na Maendeleo ya Vijana Ndugu Augustine Lyatonga Mrema akaamriwa akabidhi Kila kitu Mara Moja kasoro Nyumba aliyokuwa anaishi Masaki aliamuru aachwe aishi mpaka atakapopata pa kujisitiri Na hakutoka kwenye hiyo Nyumba mpaka Mwinyi anastaafu, alikuja kufurushwa alipoingia Mzee Mkapa