mblock
Mbona hazijafika sehemu nyingine ni watu wa kawe tuu..khaa unatupa kadi ya mtandao aliotumia kulee tunaendelea..
Pelekeni shauri mahakamani,mumfunge! Mjinga sana huyu.
kwani kipi cha ajabu hapo?????? Mambo ya kawaida sana katika chaguzi, na najaribu kupitia maandiko yako sijapata na wala sioni kitu cha maana sana zaidi ya malalamiko yasiyo na msingi madhubuti.
Unalalamika kwani kippi amekulazimisha ukampigie kura ya ndio?????? Kwani amesema kuwa atakuja kukushika mkono october 25 ukampigie kura kwa lazma???? Ukipata majibu funga domo lako na hakikisha unaandika mambo ya msingi zaidi ya kelele hizi zisizo za maana.
hizi pumba zenu mmezitoa wapi vijana?????? Jaribuni kuongea mambo ya msingi, kama hutaki kumpigia kura nini kina kukera???? Chukua times zako ukafanye maamuzi upendayo, sio kubweka hapa?????
unabajati nimeokpka majuziOngea na mobile operator wako. Masharti ulioyo sign wakati unachukua simu yanaruhusu matangazo. Hata wewe ukitaka peleka tangazo lako, walipe wanalisukuma tu. Mimi nimejiandikisha kinondoni lakini nimepata pia. Na ni ujumbe mzuri of course, jione mwenye bahati kupata ujumbe huu.
Nadhan pia utakuwa una matatizo hivi unadhan tume ndo huwa inatoa namba za watu? je wewe una umhimu gani kwa tume mpaka wawe na namba yako au ndo kuchanganyikiwa huko acha kuwa na akili ndogo
Ni kweli, uko sawa.Hivi hiki kitu si hata jk alikifanya mwaka 2010???
Hunifahamu, sikufahamu. Ni kweli nimejiandikisha Mikocheni ambayo ipo Jimbo la Kawe. Kitu kinachonishangaza imekuwaje Tume wakupe namba yangu ya simu na kuanza kunitumia meseji kila siku za kampeni zako za kisiasa?
Imekuwaje uitafute na kupata namba yangu ya simu bila ridhaa yangu?
Na nyie watu wa Tume wa Mikocheni nilipojiandikisha kwenye BVR, inakuwaje mmempatia mtu mwingine details zangu bila ruhusa yangu?
Huku mchezo huu ukiwa unaendelea, nawaomba sana TCRA hebu mwiteni KIPPI Warioba na mumuhoji ni kwanini anawatumia watu msg bila ya ridhaa yao? Na kama mtataka ushahidi mimi ni mmoja wa watu tutakaojitokeza na ushahidi wa hizo sms zake anazozituma.
Mpaka mtu wa CCM kuweza kupewa details za mpiga/Wapiga kura, je bado tuendelee kuamini kwamba hoi tume ya uchaguzi ni huru?
Mpuuzi first class wewe.
Ingekuwa Tanzania nzima tunapata hizo msgs hapo sawa, lakini swali ni kivipi wamepata namba ya mpiga kura specifically wa eneo hilo. Mbona sie wengine hatupati hizo messages? Hapo kunatakiwa maelezo.