Kippi Warioba jiheshimu

Kippi Warioba jiheshimu

Ongea na mobile operator wako. Masharti ulioyo sign wakati unachukua simu yanaruhusu matangazo. Hata wewe ukitaka peleka tangazo lako, walipe wanalisukuma tu. Mimi nimejiandikisha kinondoni lakini nimepata pia. Na ni ujumbe mzuri of course, jione mwenye bahati kupata ujumbe huu.

Ni ujumbe mzuri kwako kwetu wengine ni sawa na kinyesi!
 
january Makamba ndio muanzilishi wa huu ushenzi huku akiwa naibu waziri wa Wizara ya Mawasiliano na uhuni,ndio huyu huyu na Makame walioleta sheria ya Mitandao!!

Cha ajabu yeye Kigwangallah na Mwigulu Nchemba ndio wameandaliwa na Kikwete!!

Hakuna dawa nyingine zaidi ya kuwaburuza kwa pilato hao wajinga
 
Last edited by a moderator:
january makamba ndio muanzilishi wa huu ushenzi huku akiwa naibu waziri wa wizara ya mawasiliano na uhuni,ndio huyu huyu na makame walioleta sheria ya mitandao!!

Cha ajabu yeye kigwangallah na mwigulu nchemba ndio wameandaliwa na kikwete!!


hizi pumba zenu mmezitoa wapi vijana?????? Jaribuni kuongea mambo ya msingi, kama hutaki kumpigia kura nini kina kukera???? Chukua times zako ukafanye maamuzi upendayo, sio kubweka hapa?????
 
january Makamba ndio muanzilishi wa huu ushenzi huku akiwa naibu waziri wa Wizara ya Mawasiliano na uhuni,ndio huyu huyu na Makame walioleta sheria ya Mitandao!!

Cha ajabu yeye Kigwangallah na Mwigulu Nchemba ndio wameandaliwa na Kikwete!!

Ni kweli mwanzilishi wa ujinga huu alikuwa naibu waziri wa mawasiliano January Makamba wakati akisaka kura za maoni, nafikiri ndiye kamtonya Kippi mpango mzima.
Wakati huo alitutumia sms nyingi na tukijiliza namba zetu alikuwa anazipataje?
 
Last edited by a moderator:
Hivi hiki kitu si hata jk alikifanya mwaka 2010???
 
hakuna dawa nyingine zaidi ya kuwaburuza kwa pilato hao wajinga

kwa kutumia sheria gani nyie vilaza wa kawe, hivi mnaifaham sheria vyema.?????? Lazma uwe na grounds za kutumia kwenye kupeleka mashtaka yenu?????????? Punguani kwelikweli.........
 
Hilo siyo tangazo huo ni ujumbe mfupi. wewe na kippi ni wapumbavu kwa mujibu wa mkapa viwanja vya jangwani,

Huyo anaye tuma huo ujumbe tafadhali sana mburuzeni kwa pilato hata ikibidi tutachangia wakili ili iwe kwa maccm kukubali kupitisha sheria kandamizi bungeni kwa ujinga ujinga
 
Hivi hiyo sms inamatatizo gani? mbona mnachanganya watu ? acheni upuuzi jamani
 
hizi pumba zenu mmezitoa wapi vijana?????? Jaribuni kuongea mambo ya msingi, kama hutaki kumpigia kura nini kina kukera???? Chukua times zako ukafanye maamuzi upendayo, sio kubweka hapa?????

Sheria za mitandao walipitisha babs zao pale bungeni kwa mihemuko ya ki ccm ccm
 
kwa kutumia sheria gani nyie vilaza wa kawe, hivi mnaifaham sheria vyema.?????? Lazma uwe na grounds za kutumia kwenye kupeleka mashtaka yenu?????????? Punguani kwelikweli.........

Sisi ni wanasheria hii kitu tunaanza nayo hata kwa kujitolea ili iwe fundisho kwa macc wengine
 
Na mimi nazipata toka kwa Magufuli. Ila najua hawa ni Push Mobile.
 
ni kweli mwanzilishi wa ujinga huu alikuwa naibu waziri wa mawasiliano january makamba wakati akisaka kura za maoni, nafikiri ndiye kamtonya kippi mpango mzima.


hii ni akili ndogo wadau, nani kamtonya nani???? Nani kaanzisha huu mpango????? Nani anamiliki vyombo vya mawasiliano???
Mbona mnakomalia msiyoyajua wama jamii forum??? Hii ni dalili ya kupiwa na kupigwa chini kwa yule ndada mdee.
 
kwa kutumia sheria gani nyie vilaza wa kawe, hivi mnaifaham sheria vyema.?????? Lazma uwe na grounds za kutumia kwenye kupeleka mashtaka yenu?????????? Punguani kwelikweli.........

Punguani ni weye mwenyewe unaye tetea jambo husilo lijua
 
Unaweza kuwa na akili kumbe zikawa hazikusaidi kitu kichwani unamjua kippi warioba vizuri au unapapatia patika tuu kuwa positive unapo post na si kuwa negative minded una be forced na watu bila matakwa yako kuwa mujarabu
 
Ni kweli mwanzilishi wa ujinga huu alikuwa naibu waziri wa mawasiliano January Makamba wakati akisaka kura za maoni, nafikiri ndiye kamtonya Kippi mpango mzima.

Sasa ni wakati murua wa kuwaonyesha kuwa watanzania tumechoka kutumiwa na hawa lumumbaz
 
Unaweza kuwa na akili kumbe zikawa hazikusaidi kitu kichwani unamjua kippi warioba vizuri au unapapatia patika tuu kuwa positive unapo post na si kuwa negative minded una be forced na watu bila matakwa yako kuwa mujarabu

ww acha usakara kama mzuri na mhimu ni kwako bana sio kwetu kama anakufurahisha na kukunufaisha ni wewe peke yako.tatizo yaonekana ww ni mfuasi wake ndio maana huoni hata anapokosea ww unashangilia tuu.

sasa ww mtu anakutumia SMS hata kama iwe ya salam 2 sio wote watakao furahia bana ww vipi
 
Jmlllllllqpmklb
Fcrcommgi&.ollioi mklpplkkkkllpppppyjplllopjlwkoppp
 
View attachment 293758hii ni moja za sms ambayo amenitumia muda huu.
Nasema akome. Anachotakiwa kukifanya kwasasa ni kuandaa mawakili wa kumtetea dingi wake pindi ukawa ikiingia madarakani juu ya wizi wake kupitia kampuni ya meremeta. Asidhani watanzania ni mazuzu na kwamba tunasahau kirahisi kihivyo!


wewe kweli ni mbumbu kabisa, kwanza mawakili wa nini???? Pili grounds za mashtaka ni zipi???? Pia njoo eleza implicaton yake kt k maswala ya meremeta. Maana vijana wa ukawa mnabweka sana tena sana, hii ni dalili ya kuwa mnaenda kupigwa vikali sana!!
 
Back
Top Bottom