Kipindi unajitafuta, michongo gani ulikua unapiga ili kujikimu kimaisha?

Kipindi unajitafuta, michongo gani ulikua unapiga ili kujikimu kimaisha?

Tronics guru

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
7,867
Reaction score
7,387
Wote tunapitia vipindi tofauti mpaka tunakaa sawa,Kuna vipindi life linakua tight sana yaani ukija mchongo wowote huachi.

Michongo niliyoifanya kipindi nipo mavumbini ni
-Kuuza bando mtandaoni
-Kuuza links za utamu(hii ndio ilininunulia vitu vya geto )
-uwinga (hii ilinifungulia milango mingi sana)


Wewe michongo gani umepiga kipindi unajitafuta?
hustling isn't hobby
 
Wote tunapitia vipindi tofauti mpaka tunakaa sawa,Kuna vipindi life linakua tight sana yaani ukija mchongo wowote huachi.

Michongo niliyoifanya kipindi nipo mavumbini ni
-Kuuza bando mtandaoni
-Kuuza links za utamu(hii ndio ilininunulia vitu vya geto )
-uwinga (hii ilinifungulia milango mingi sana)


Wewe michongo gani umepiga kipindi unajitafuta?
hustling isn't hobby
Nishachimba visima
Nishafanya ukondakta wa daladala
Nishakuwa inspekta wa mabus
 
Wote tunapitia vipindi tofauti mpaka tunakaa sawa,Kuna vipindi life linakua tight sana yaani ukija mchongo wowote huachi.

Michongo niliyoifanya kipindi nipo mavumbini ni
-Kuuza bando mtandaoni
-Kuuza links za utamu(hii ndio ilininunulia vitu vya geto )
-uwinga (hii ilinifungulia milango mingi sana)


Wewe michongo gani umepiga kipindi unajitafuta?
hustling isn't hobby
Ulozi kwa kwenda mbele
 
Wote tunapitia vipindi tofauti mpaka tunakaa sawa,Kuna vipindi life linakua tight sana yaani ukija mchongo wowote huachi.

Michongo niliyoifanya kipindi nipo mavumbini ni
-Kuuza bando mtandaoni
-Kuuza links za utamu(hii ndio ilininunulia vitu vya geto )
-uwinga (hii ilinifungulia milango mingi sana)


Wewe michongo gani umepiga kipindi unajitafuta?
hustling isn't hobby
Saidia fundi.
Viroba vya unga, godown za buguruni za bakharesa
Kutunza bustani gardens,
Kupakia ba kushusha mizigo kwenye malori,
Nachoweza kusema ni USIKATE TAMAA.
 
Wote tunapitia vipindi tofauti mpaka tunakaa sawa,Kuna vipindi life linakua tight sana yaani ukija mchongo wowote huachi.

Michongo niliyoifanya kipindi nipo mavumbini ni
-Kuuza bando mtandaoni
-Kuuza links za utamu(hii ndio ilininunulia vitu vya geto )
-uwinga (hii ilinifungulia milango mingi sana)


Wewe michongo gani umepiga kipindi unajitafuta?
hustling isn't hobby
Link out
Wote tunapitia vipindi tofauti mpaka tunakaa sawa,Kuna vipindi life linakua tight sana yaani ukija mchongo wowote huachi.

Michongo niliyoifanya kipindi nipo mavumbini ni
-Kuuza bando mtandaoni
-Kuuza links za utamu(hii ndio ilininunulia vitu vya geto )
-uwinga (hii ilinifungulia milango mingi sana)


Wewe michongo gani umepiga kipindi unajitafuta?
hustling isn't hobby

-Kuuza links za utamu(hii ndio ilininunulia vitu vya geto )
Hapa imekaaje mkuu 😂
 
Wote tunapitia vipindi tofauti mpaka tunakaa sawa,Kuna vipindi life linakua tight sana yaani ukija mchongo wowote huachi.

Michongo niliyoifanya kipindi nipo mavumbini ni
-Kuuza bando mtandaoni
-Kuuza links za utamu(hii ndio ilininunulia vitu vya geto )
-uwinga (hii ilinifungulia milango mingi sana)


Wewe michongo gani umepiga kipindi unajitafuta?
hustling isn't hobby
Asee kumbe Breakthrough ipo ,,
Mkuu mimi ndio naingia huko ulikotoka nataka nipite nyayo zako na ntadeal na hustle moja tu kati ya hizo ili niwe focused zaidi.
 
nimepiga sana kazi za kutengenez viatu vya kimasai sendo za shanga na ngozi.

NB bado najitafuta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom