Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,594
- 1,863
Niwape pongezi azam media kwa hiki kipindi, ni kipindi bora kabisa na cha kuvutia, kina uhalisia kabisa wa mziki hasa wa kitanzania kipindi hicho.
Ni "live band" ya nguvu, ni pongeze UTALII BAND, hii bendi inayo toa burudani kwenye hiki kipindi inaimba nyimbo zile za zamani hasa bendi zetu za nyumbani, ni balaa ina watu wana sauti za akina Rajab Marijani, Mbaraka Mwishe, Remmy Ongala, Malim Ngurumo, Rehan Bitchuka n.k
Kama ulitazama juzi Jumamosi kuna wimbo wa mwisho aliimba Charlez Baba ambao mtangazaji alimsifia sana, alisema uliimbwa na Remmy Ongala na Matimila Band Jina ni YOTE YANA MWISHO nimejaribu kutafuta sana huu wimbo ila hakuna jina la wimbo huo sijui kama kuna anaeufahamu au alikosea jina, mwenye namba ya Charles Baba ani PM tafadhali nikiupata nauleta hapa tu furahia pamoja.
Ni "live band" ya nguvu, ni pongeze UTALII BAND, hii bendi inayo toa burudani kwenye hiki kipindi inaimba nyimbo zile za zamani hasa bendi zetu za nyumbani, ni balaa ina watu wana sauti za akina Rajab Marijani, Mbaraka Mwishe, Remmy Ongala, Malim Ngurumo, Rehan Bitchuka n.k
Kama ulitazama juzi Jumamosi kuna wimbo wa mwisho aliimba Charlez Baba ambao mtangazaji alimsifia sana, alisema uliimbwa na Remmy Ongala na Matimila Band Jina ni YOTE YANA MWISHO nimejaribu kutafuta sana huu wimbo ila hakuna jina la wimbo huo sijui kama kuna anaeufahamu au alikosea jina, mwenye namba ya Charles Baba ani PM tafadhali nikiupata nauleta hapa tu furahia pamoja.