Kipindi cha 'Kisa na Mkasa' EATV

Kipindi cha 'Kisa na Mkasa' EATV

nilikiangalia kwa mara ya kwanza tu kilipoanza kuruka hewani ila maudhui yake niliona kama vile ya kipikwa, toka hapo sijakifuatilia tena.

Wewe hujaishi uswahilini
ukisshi uswahilini basi utajua kile ni uhalisia...sio kupikwa
 
Kina vituko uliona yule alitemewa maji na dada yake kufanyiwa tambiko baada ya ugomvi?
Kile nilikikosa ila niliona tangazo lake...dada kashika kikombe kakisemea maneno kisha kamtemea usoni khaaaa..maji kibao
 
Back
Top Bottom