Hahahhaa...sanaa,watu wanavyojiapiza na kutoa mapovu ugomvi mwingine hauna kichwa wala miguu.hahaaa hivi kuna mtu anakijua hiki kipindi?
sijui nani alikibuni
kinachekesha mno sometimes
Dah
Eatv kila jumatano..kama sikosei kuanzia tatu kasoroboLini na lini na saa ngapi?
[emoji1] [emoji3] [emoji3] kwa hiyo wanaongalia CNN, Al-jazeera, BBC nao wamerudi utotoni?? Habari za local stations kama ITV, Channel 10, starTV, TV1 etc... Nao wamerudi utotoni?? Makala za kitanzania kuhusu utalii, kilimo, huduma za jamii..nao wamerudi utotoni!!??Natamani ningerudi utotoni nipate muda wa kuangalia TV.
lakini sio ugomvi wa kupikwa?hahaaa hivi kuna mtu anakijua hiki kipindi?
sijui nani alikibuni
kinachekesha mno sometimes
Dah
Huenda jamaa mishemishe nyingi kwahiyo anakosa muda wa kuchek tv watoto huwa wanapata muda mwingi wa kuchek tv[emoji1] [emoji3] [emoji3] kwa hiyo wanaongalia CNN, Al-jazeera, BBC nao wamerudi utotoni?? Habari za local stations kama ITV, Channel 10, starTV, TV1 etc... Nao wamerudi utotoni?? Makala za kitanzania kuhusu utalii, kilimo, huduma za jamii..nao wamerudi utotoni!!??
Kwa jazba zile sidhani kama ni za kupikwa..lakini sio ugomvi wa kupikwa?
Mkuu naona unakifuatilia sana hakina marudio kwa siku za weekend kuanzia saa 13:50 hivi nami nije nikiangalie???Kwa jazba zile sidhani kama ni za kupikwa..
Hahaha...kinarudiwa weekday nadhan sikumbuki vizuri.Mkuu naona unakifuatilia sana hakina marudio kwa siku za weekend kuanzia saa 13:50 hivi nami nije nikiangalie???