Kipimo cha Msomi wa Afrika ni Kiingereza

Kipimo cha Msomi wa Afrika ni Kiingereza

Right Marker

Senior Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
194
Reaction score
624
Huku Afrika hata kama unaweza kuzungumza lugha ya kabila lako na lugha 10 za mataifa mbalimbali isipokuwa Kiingereza, Utachekwa. Hata kama unazungumza vizuri Kiswahili, Kihindi, Kiarabu, Kichina, Kithailand, n.k - lakini ukishindwa kuzungumza Kiingereza nchi nzima watakucheka.

Watakucheka kwelikweli! na tena watachimbua CV yako ili wajue umesoma wapi, ulihitimu shule/chuo gani, ulipata daraja gani, na kwanini hujui kuzungumza Kiingereza? Hata kama elimu yako yote ulisoma huko China utachekwa kwanini hujui Kiingereza.

Kipimo cha Msomi wa Afrika ni Kiingereza. Hata kama utaibadili nchi yako kuwa taifa bora kiuchumi kuliko mataifa yote Duniani, bado utaulizwa kwanini hujui Kiingereza. Ukiwa kwenye nafasi ya uongozi hata kama utakuwa fisadi mkubwa lakini kama unajua kuzungumza vizuri kiingereza halafu uweke na vionjo vya vifungu vya sheria, utasifiwa kwelikweli.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
 
Of course ila sometime haiko hivyo, you know
🙂
 
Huku Afrika hata kama unaweza kuzungumza lugha ya kabila lako na lugha 10 za mataifa mbalimbali isipokuwa Kiingereza, Utachekwa. Hata kama unazungumza vizuri Kiswahili, Kihindi, Kiarabu, Kichina, Kithailand, n.k - lakini ukishindwa kuzungumza Kiingereza nchi nzima watakucheka.

Watakucheka kwelikweli! na tena watachimbua CV yako ili wajue umesoma wapi, ulihitimu shule/chuo gani, ulipata daraja gani, na kwanini hujui kuzungumza Kiingereza? Hata kama elimu yako yote ulisoma huko China utachekwa kwanini hujui Kiingereza.

Kipimo cha Msomi wa Afrika ni Kiingereza. Hata kama utaibadili nchi yako kuwa taifa bora kiuchumi kuliko mataifa yote Duniani, bado utaulizwa kwanini hujui Kiingereza.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
And really, Professors or those educated well are the leading ones in speaking English! Kwahiyo kutmia kiingereza kama kipimo cha usomi sioni tatizo. Ukiona mtu anaongea broken English, elimu yake all the time huwa duni. (labda kwa shule za leoza kata na vyuo vikuu vya kata kama Udom)
 
Sema tanzania, nchi zingine kama afrika kusini, namibia, zimbabwe, zambia, malawi, kenya, uganda, nigeria. Ghana, siera leone kiingereza kwao si usomi wanakiongea hata ngumbaru wasienda shule
 
Huku Afrika hata kama unaweza kuzungumza lugha ya kabila lako na lugha 10 za mataifa mbalimbali isipokuwa Kiingereza, Utachekwa. Hata kama unazungumza vizuri Kiswahili, Kihindi, Kiarabu, Kichina, Kithailand, n.k - lakini ukishindwa kuzungumza Kiingereza nchi nzima watakucheka.

Watakucheka kwelikweli! na tena watachimbua CV yako ili wajue umesoma wapi, ulihitimu shule/chuo gani, ulipata daraja gani, na kwanini hujui kuzungumza Kiingereza? Hata kama elimu yako yote ulisoma huko China utachekwa kwanini hujui Kiingereza.

Kipimo cha Msomi wa Afrika ni Kiingereza. Hata kama utaibadili nchi yako kuwa taifa bora kiuchumi kuliko mataifa yote Duniani, bado utaulizwa kwanini hujui Kiingereza. Ukiwa kwenye nafasi ya uongozi hata kama utakuwa fisadi mkubwa lakini kama unajua kuzungumza vizuri kiingereza halafu uweke na vionjo vya vifungu vya sheria, utasifiwa kwelikweli.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Ni nchi chache zinazotimia kiingereza ukilinganisha na kifaransa na kiaarabu.
 
Huku Afrika hata kama unaweza kuzungumza lugha ya kabila lako na lugha 10 za mataifa mbalimbali isipokuwa Kiingereza, Utachekwa. Hata kama unazungumza vizuri Kiswahili, Kihindi, Kiarabu, Kichina, Kithailand, n.k - lakini ukishindwa kuzungumza Kiingereza nchi nzima watakucheka.

Watakucheka kwelikweli! na tena watachimbua CV yako ili wajue umesoma wapi, ulihitimu shule/chuo gani, ulipata daraja gani, na kwanini hujui kuzungumza Kiingereza? Hata kama elimu yako yote ulisoma huko China utachekwa kwanini hujui Kiingereza.

Kipimo cha Msomi wa Afrika ni Kiingereza. Hata kama utaibadili nchi yako kuwa taifa bora kiuchumi kuliko mataifa yote Duniani, bado utaulizwa kwanini hujui Kiingereza. Ukiwa kwenye nafasi ya uongozi hata kama utakuwa fisadi mkubwa lakini kama unajua kuzungumza vizuri kiingereza halafu uweke na vionjo vya vifungu vya sheria, utasifiwa kwelikweli.

RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM
Si kweli. Mbona kuna nchi za Kiafrika kama Sudan ambapo maprofesa wake hawajui kimombo na bado wanaheshimika duniani?
 
Back
Top Bottom