Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,265
- 4,716
nimetazama kwa masikitiko jinsi watoto watanzania walioenda kulilia baba yao (serikali) awaepushe na janga la kubakwa walivyosurubishwa na dola. huu ndiyo uhalisia wa jeshi letu; ukienda polisi kutoa taarifa ya uharifu unakuwa mtuhumiwa wa kwanza, . mbaya zaidi Kova anaenda mbali kwa kuwataka wanafunzi wamsaidie yeye kuwalinda wananchi wa kigamboni ambao wanakila aina ya madhila ya wizi, ubakaji na vurugu za mitaani. inasikitisha sana.