Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,648
- 12,251
Ndugu zangu hapa MMU hamjambo wote..?? Poleni kwa wale wagonjwa,na wale wenye UPEM(Ukosefu wa Pesa Mfukoni) halikadhalika waliofiwa na matatizo mengine,Mungu wetu ni mwema atatenda kadiri ya mapenzi yake.
Nimeulizwa swali na mdogo wangu wa kiume 20+yrs,ameniuliza hivi kati ya SAMAKI na CHUPI ni kitu gani kinavuliwa zaidi.??
Samahani unaweza kudhani ni swali la kitoto au lenye jibu rahisi bila kuchukua muda wa kufikiri kwa kina,jiulize unavua SAMAKI ili upate kitoweo na Tunavua CHUPI ili tujisaidie au tufanye mambo yako mengine ya kikubwa nk.
Daily watu wanavua SAMAKI halikadhalika na CHUPI pia,Je wewe unadhani kipi kinavuliwa zaidi.Watu wa Research mtusaidie kwa hilo..!!
Asanteni wote..!
Nimeulizwa swali na mdogo wangu wa kiume 20+yrs,ameniuliza hivi kati ya SAMAKI na CHUPI ni kitu gani kinavuliwa zaidi.??
Samahani unaweza kudhani ni swali la kitoto au lenye jibu rahisi bila kuchukua muda wa kufikiri kwa kina,jiulize unavua SAMAKI ili upate kitoweo na Tunavua CHUPI ili tujisaidie au tufanye mambo yako mengine ya kikubwa nk.
Daily watu wanavua SAMAKI halikadhalika na CHUPI pia,Je wewe unadhani kipi kinavuliwa zaidi.Watu wa Research mtusaidie kwa hilo..!!
Asanteni wote..!