The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,158
- 51,086
Sababu inaweza kua ni ipi kama utakua na any idea?Hawezi kukunyima bila sababu.
Sababu inaweza kua ni ipi kama utakua na any idea?Hawezi kukunyima bila sababu.
Potelea mbali muhimu furaha ya sasa hayo ya mwisho yakifika itajulikana hukohuko, hata hivyo mchepuko unaangaliwa kwa mengi lazima uwe smart sio kuokota tu paka pori lije likuletee mashida baadaye.๐๐๐๐๐ Michepuko ina mwisho wake lakini
๐๐๐๐ Ee sasa kama njia kuu hakusomeki we anamnyima game jamaa mpaka anakuja kuanzisha uzi saa 11 asubuhi kwanini isiwe mitano tena kwa mchepuko๐ ๐Mitano Tena kwa mchepuko ๐
Hii mpya
Mi5Tena tafadhali
Ni kweli, sabb yaweza kuwa nzuri au mbaya, mfano labda kapata penzi jipya nje, nk. Ila hata kukiwa na sabb nzuri labda ME anyimwe mara 1, 2 au 3, basi. Sio siku zote. Hata andiko linasema "Msinyimane.."Hawezi kukunyima bila sababu.
Njia mbadala huwa ni kumpandisha cheo na kua bi mkubwa .Wanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.
Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimlazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
Zinaeleweka ndiyo..sasa kama mume kichomi maudhi kila uchwao..mnategemea sisi tunaotoa utamu tunajisikiaje labda
Aise itafaa zaidi ukimmwagia na yeye๐simple, you masturbate before her, and make sure the sperms drop on the bed, ili aende kufua shuka
Ni kama uji na mgonjwaWanaume na michepuko๐
Mke mmoja hudumaza akiliWanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.
Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimlazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
Yaani kwangu hamna kitu kibaya kama kuninhyima chiu aisee.ntapoteza interest nae kwa muda mrefu sana na kulazimisha siwezi.Uwezekano wa kuvutiwa kwingine ni kubwa sanaWanaume na michepuko๐
mna visirani nyie!!Hawezi kukunyima bila sababu.
Wanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.
Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimlazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
Dah pole kuna kipindi wife alishaanza hizo baada ya siku moja alijichanganya akanijibu shiti alichezea kofi za maana akaona isiwe tabu ngoja aanze mgomo baridi.Wanajamvi habari za mda huu, kumekuwa na ongezeko kubwa la migogoro ya ndoa inayosababishwa na unyumba.
Je kipi unatakiwa kufanya endapo mkeo akikunyima unyumba, Tena ukimuomba no Vita sio Vita ya kitoto na ukimlazimisha Sana utaona anapiga kelele Kama vile anabakwa.
Unakubali kuolewa halafu unakataa kutoa Mbunye? Yaani ni sawa na Uingie Msikitini au Kanisani halafu ukatae kusali.Wanaume wa huu Uzi ๐๐๐๐๐๐
Ngoja Nile nishibe