Unatakiwa ufanye hivi, unapokutana na simba uso kwa uso

enzo1988

JF-Expert Member
May 26, 2018
727
2,837
Mh, tuombee isitokee, lakini kama imetokea na umekutana naye ili asikudhuru unatakiwa ufanye kitu hiki ni kigumu lakini unatakiwa ukifanye:

Simama mwangalie macho kwa macho huku ukiondoa hofu!!! Simba humuogopa binaadamu hivyo atakupa hiyo heshima endapo usipomuonyesha hofu!!!!! Utaweza????

gettyimages-684790008.jpg


Experts say the key to a thrilling lion encounter is respect. Keep your distance and understand — but don't blindly fear — the lethal capabilities of Africa's most fascinating cat. Humans are actually much more dangerous to lions than they are to us.

 
Uko sahihi. Ikikukuta unakuwa huna jinsi lazima ufanye hivyo kwasababu hapo inakuwa ni kufa au kupona. Wanyama wa mwituni humuogopa binadamu. Isingekuwa hivyo masai wangeliwa sana Ngorongoro. Kuna mnyama nyati ndo huwa ana balaa... Pale zahanati ya Makao, Ngorongoro kulikuwa na visa vingi vya masai kujeruhiwa na Nyati.
 
Uko sahihi. Ikikukuta unakuwa huna jinsi lazima ufanye hivyo kwasababu hapo inakuwa ni kufa au kupona. Wanyama wa mwituni humuogopa binadamu. Isingekuwa hivyo masai wangeliwa sana Ngorongoro. Kuna mnyama nyati ndo huwa ana balaa... Pale zahanati ya Makao, Ngorongoro kulikuwa na visa vingi vya masai kujeruhiwa na Nyati.
In fact ndio mnyama anaye ongoza kwa kujeruhi/ mauaji hifadhini! tunawaita wazee wa ngwasuma! yani wewe umuone usimuone ila akikuona yeye basi imekula kwako!
 
Mh, tuombee isitokee, lakini kama imetokea na umekutana naye ili asikudhuru unatakiwa ufanye kitu hiki ni kigumu lakini unatakiwa ukifanye:

Simama mwangalie macho kwa macho huku ukiondoa hofu!!! Simba humuogopa binaadamu hivyo atakupa hiyo heshima endapo usipomuonyesha hofu!!!!! Utaweza????

View attachment 2883494

Experts say the key to a thrilling lion encounter is respect. Keep your distance and understand — but don't blindly fear — the lethal capabilities of Africa's most fascinating cat. Humans are actually much more dangerous to lions than they are to us.

Sasa ukimuangalia ataondoka au mtaangaliana mpaka giza liingie. Na vipi wakati mnaangaliana, akatokea simba mwingine?! Utaangalia huku na huku! Na akitokea simba wa tatu, utaendelea kuzungusha macho kwa simba wote watatu? Nasikia ukikutana na simba dume, ujue jike haliko mbali, na simba jike ndo noma zaidi. Mimi nadhani ukikutana naye, na kuna distance ya kutosha, toka nduki, tafuta mti wa karibu, paramia na upande juu halafu piga kelele za kuomba msaada!
 
Sasa ukimuangalia ataondoka au mtaangaliana mpaka giza liingie. Na vipi wakati mnaangaliana, akatokea simba mwingine?! Utaangalia huku na huku! Na akitokea simba wa tatu, utaendelea kuzungusha macho kwa simba wote watatu? Nasikia ukikutana na simba dume, ujue jike haliko mbali, na simba jike ndo noma zaidi. Mimi nadhani ukikutana naye, na kuna distance ya kutosha, toka nduki, tafuta mti wa karibu, paramia na upande juu halafu piga kelele za kuomba msaada!
Hahahahahahaha,hahahahah , nimecheka kwa sauti
 
Sasa ukimuangalia ataondoka au mtaangaliana mpaka giza liingie. Na vipi wakati mnaangaliana, akatokea simba mwingine?! Utaangalia huku na huku! Na akitokea simba wa tatu, utaendelea kuzungusha macho kwa simba wote watatu? Nasikia ukikutana na simba dume, ujue jike haliko mbali, na simba jike ndo noma zaidi. Mimi nadhani ukikutana naye, na kuna distance ya kutosha, toka nduki, tafuta mti wa karibu, paramia na upande juu halafu piga kelele za kuomba msaada!
Kuna Simba anapanda juu ya mti
 
Back
Top Bottom