ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,585
- 44,831
Juzi nimemsikia mchungaji mmoja akisema kwa wale mnaoishi maisha ya unyumba ukitaka kujua mkeo ndio rafiki wako mkubwa basi ugua ugonjwa wa kulazwa wa kukaribia kufa au ugonjwa uzidiwe mpaka ujinyee mkeo atakusafisha matako bila kuona kinyaa maadam mlipendana kwa dhati.
Ndugu na marafiki watakuja week ya Kwanza na matunda ya kuzuga baada ya hapo hutawaona Tena. Mkeo atakaa mpaka dakika ya mwisho na yeye akianza kuchoka jua ameshaona hutoboi so ni Bora ukamwachia roho yako bwana kiroho Safi na ndo maana hata mirathi next of keen awe mkeo hawezi kuacha watoto wenu ila ndugu wengine hawana uchungu wanakula Mali yote..
Ndugu na marafiki watakuja week ya Kwanza na matunda ya kuzuga baada ya hapo hutawaona Tena. Mkeo atakaa mpaka dakika ya mwisho na yeye akianza kuchoka jua ameshaona hutoboi so ni Bora ukamwachia roho yako bwana kiroho Safi na ndo maana hata mirathi next of keen awe mkeo hawezi kuacha watoto wenu ila ndugu wengine hawana uchungu wanakula Mali yote..