Kipi Kinywaji Kizuri Kwa Afya?

Kipi Kinywaji Kizuri Kwa Afya?

Aaah wapi yesu aligeuza Maji Kuwa mvinyo
Aisee kumbe Yesu nae alikuwa mlevi komba?sasa kama Mungu akilewa hawa wengine hali inakuwaje kwenye maamuzi.
duhh,haya acha nisiwaharibie uzi wenu wakuu,heee Yesu Mungu anapiga ulabu?


Mtakumbua Dokta Isack Ndodi aliwahi kutoa Nissan Patrol yake ili aende mtu ampe maandiko ya uhalali wa Pombe,miezi miwili hajaenda mtu.

Hya Tuendelee wazee wa Ugimbi
 
Serengeti ina kauvundo flan hivi amaizing
 
Maji ya moto yaliyokamuliwa limao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom