Kipi Kinywaji Kizuri Kwa Afya?

Kipi Kinywaji Kizuri Kwa Afya?

Sio..hakuna pombe chungu......
Km mwili wako unamafutafuta pendelea konyagi au vodka

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
Sio chungu...hakuna pombe chungu

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
Maziwa ndio kinywaji kizuri sana kwa afya, na kinaongeza pato la Taifa pia. Achana na pombe,sio nzuri kwa afya. Badala yake kunywa maziwa
Maziwa ya nn..??
Kwan mm nmekunywa sumu au navuta sigara.....watu watakunywa pombe na wanaishi miaka zaid ya 70....ww jifunge tuu na afya yako

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
pombe sio nzuri kwa afya. bora utumie bangi ina faida kichwani.
 
Habari Za Jioni Wana Ukumbi
Nimeamua Nianze Kunywa Bia Hasa Bia za Nyumbani ( Local Beer ) Kutoka TBL Na SBL Ili Kujenga Uchumi Wa Nchi Na kumuunga Mkono Rais Wetu Kipenzi John Magufuli Katika Kuongeza Mapato.

Naombeni Msaada, Ni Bia Gani Nzuri Ninywe Ili Niweze Kuburudika Hasa Wakati Huu Nikiwa Likizo. Ni Bia Gani Nzuri Inayoweza Kunipa Kitambi Pia Ambayo Haina Hang Over?

Karibuni Mtiririke Wanywaji Mliotukuka.

Kinywaji kizuri kwa afya ni MAJI.
 
Aisee masawe, nakushauri mbege baba yangu! Unakuwa unapata nafaka ndani yake! Wakati ukiburudika pembeni uwe na kitimoto aka nguruwe aliyechemshwa utaenjoy baba yangu! Ni hayo tu masawe
 
Habari Za Jioni Wana Ukumbi
Nimeamua Nianze Kunywa Bia Hasa Bia za Nyumbani ( Local Beer ) Kutoka TBL Na SBL Ili Kujenga Uchumi Wa Nchi Na kumuunga Mkono Rais Wetu Kipenzi John Magufuli Katika Kuongeza Mapato.

Naombeni Msaada, Ni Bia Gani Nzuri Ninywe Ili Niweze Kuburudika Hasa Wakati Huu Nikiwa Likizo. Ni Bia Gani Nzuri Inayoweza Kunipa Kitambi Pia Ambayo Haina Hang Over?

Karibuni Mtiririke Wanywaji Mliotukuka.


Msabe
 
Konyagi, K. Vant Gin, maji ya kilimanjaro, sprite, pepsi, castle lager, castle lite, krest, Savanah,. . Safari, serengeti. Nikitoka hapo narudi home kulala. Kesho asubuhi supu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom