Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
hata rais anaitwa pombe...shit!! na sijashangaa uliposema tumuunge mkono! we endelea tu..
Sio gari ni pombe inatengenezwa na kampuni inayotengeneza bia ya Kilimanjaro (TBL au SBL)rimao - Limao
alaf hyo Kilimanjaro Swift ni gari au?
Inaitwa Kilimanjaro twist TBL.Sio gari ni pombe inatengenezwa na kampuni inayotengeneza bia ya Kilimanjaro (TBL au SBL)
Dah bora bia imeipiku soda, hivi bia ya serengeti kutowekwa sukari nini faida yake kiafya?Kinywaji kizuri kwa afya cha kwanza nj maji, inafuata juice ya matunda, then juice ya mboga, wine, beer mwisho soda
Mi ni legend wa kunywa serengeti ile kitu aisee nakuwaga ka kitimoto anakula muaMi napenda Serengeti.
Kunya Tusker, hii haina hangover, yaani asubuhi unakula hata mihogo.Habari Za Jioni Wana Ukumbi
Nimeamua Nianze Kunywa Bia Hasa Bia za Nyumbani ( Local Beer ) Kutoka TBL Na SBL Ili Kujenga Uchumi Wa Nchi Na kumuunga Mkono Rais Wetu Kipenzi John Magufuli Katika Kuongeza Mapato.
Naombeni Msaada, Ni Bia Gani Nzuri Ninywe Ili Niweze Kuburudika Hasa Wakati Huu Nikiwa Likizo. Ni Bia Gani Nzuri Inayoweza Kunipa Kitambi Pia Ambayo Haina Hang Over?
Karibuni Mtiririke Wanywaji Mliotukuka.
Bila shaka ni hii ya 1500!Kunywa UKAWA
Bila shaka ni hii ya 1500!
Kwahyo beer inatengenezwa na mawe? Kwan hamna kiac cha maji ktk beer?Save Water Drink Beer
Nimesoma heading tu nikajibu kwa mujibu wa Dr Martins Hans
Mkuu wenzako tunakimbia vitambi wewe unakikimbilia?!Save Water Drink Beer