Kipi kikomo cha kusalimia shikamoo?

Kipi kikomo cha kusalimia shikamoo?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hawataki kuzeeshwa
Mimi nashangaaga kwakweli unakuta mtu mzima kabisa unamsalimia shkamoo yeye haipokei shkamoo yako badala yake anakuambia za sahizi au mambo...nakasirika
Au mwingine anakuwahi kukusalimia utasikia"habari za saahizi "hata Kama wewe ndiyo ulipaswa umuanze, yote hiyo kukwepa shkamoo halafu ni mtu mzima kabisaa mfyuuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hata uwe mzee namna gani, uwe umenizidi kila kitu mpaka sijui manini.

Huwezi isikia shkamoo yangu.
Niliacha kuitumia baada tu, ya kujua ilikua inatumiwa na kina nani
 
Mnataka tusemaje??? goodmorning au??? Mbona mnakuwa watumwa wa lugha za watu... Sasa lugha yetu ya kiswahili shikamoo ndo salamu yetu kwenda kwa watu waliotuzidu umri kuonesha tunawaheshimu sasa unataka tusiitumie???
Niko chini ya miguu yako. Ndiyo maana yake. Mtumwa akimwambia mmiliki wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnataka tusemaje??? goodmorning au??? Mbona mnakuwa watumwa wa lugha za watu... Sasa lugha yetu ya kiswahili shikamoo ndo salamu yetu kwenda kwa watu waliotuzidu umri kuonesha tunawaheshimu sasa unataka tusiitumie???

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kauliza maana yake. Nimemjibu kadri ya ufahamu wangu mdogo. Sijazungumzia kama itumike au la!
 
Dah...shikamoo ina matumizi mengi Sana...kiasili ilikuwa salamu ya mtumwa kwa Bwana wake..."shikamoo" ikiwa na maana "nipo chini yako" na marhabaa ikiwa na maana "Safi sana"....
Shikamoo inatumiwa sana na wadada wasiotaka kukua....unashangaa Dem ana 23 anamuamkia mwamba mwenye 25yrs....
Rikodi inaonyesha wanawake ndiyo hutoa shikamoo nyingi kuliko wanaume....

"shikamoo | Ufafanuzi katika Kiswahili - Oxford Living Dictionaries" https://sw.oxforddictionaries.com/ufafanuzi/shikamoo

Sent using Beretta ARX 160
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom