Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,849
Yalikutokea yepi tena?[emoji101]Acha uoga bhana [emoji12]
Nasema hivi kutokana na mambo yaliyonitokea.
Yalikutokea yepi tena?[emoji101]Acha uoga bhana [emoji12]
Nasema hivi kutokana na mambo yaliyonitokea.
[emoji85] [emoji85] [emoji85] unampenda MTU halafu anakuzingua inakuwa balaa. Story ndefu kidogo.Yalikutokea yepi tena?[emoji101]
Eeh hiyo hiyo ndefu ndio nzuri,hebu tiririka[emoji144][emoji85] [emoji85] [emoji85] unampenda MTU halafu anakuzingua inakuwa balaa. Story ndefu kidogo.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] 'Valentina'Eeh hiyo hiyo ndefu ndio nzuri,hebu tiririka[emoji144]
Nasubiri story hivyo[emoji17][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] 'Valentina'
Karibu kila mtu huwa anatamani yeye asiache, hatutaki zile lawama za "wewe ndo uliniacha", na tunahofia zile umembwaga mtu afu baada ya muda unarealize kuwa unamuhitaji. Ndo maana hata wanaume wengi akishamchoka mtu anaanza vitimbwi tu mdogo mdogo, kusema kuwa hakutaki hasemi ng'ooo, usipojiongeza itakucost.wa kike wote mnasema hivi kuna ukweli hapa au kamba hizi tunafungwa
mi kama mtu simtaki tena, napunguza mawasiliano tu mdogomdogo kama usemavyoKaribu kila mtu huwa anatamani yeye asiache, hatutaki zile lawama za "wewe ndo uliniacha", na tunahofia zile umembwaga mtu afu baada ya muda unarealize kuwa unamuhitaji. Ndo maana hata wanaume wengi akishamchoka mtu anaanza vitimbwi tu mdogo mdogo, kusema kuwa hakutaki hasemi ng'ooo, usipojiongeza itakucost.
Umeona eeh, afu mlivyo wajanja baadaye mtu akiamua kukupotezea na yeye... hamkawii kugeuka na kuanza kutoa lawama. Nyie watu loohmi kama mtu simtaki tena, napunguza mawasiliano tu mdogomdogo kama usemavyo
tena unanung'unika kabisa, yaani dah! hasa ukipata mtu anayekuzingatia yaani raha sana, wanawake mnajua kupenda sie tukasomeUmeona eeh, afu mlivyo wajanja baadaye mtu akiamua kukupotezea na yeye... hamkawii kugeuka na kuanza kutoa lawama. Nyie watu looh
Hahaha nyie viumbe, basi tu. Mie nipotezee afu siku Jifanye kunilaumu uonetena unanung'unika kabisa, yaani dah! hasa ukipata mtu anayekuzingatia yaani raha sana, wanawake mnajua kupenda sie tukasome
Weee mbona hata nyie mnapendaga sana tu. Leo unajiona kama hupendi vile, ila ipo siku utapenda hadi wewe mwenyewe utajihisi zwazwadadaake unajua kuna hatua mtu anakufanya umpende to the maximum, yaani hayo unayoyasema hapa yote unayasahau, mapenzi haya, nilipataga mmoja huyo ilikuwa shida aisee, cm mara sita mchana tu acha ile ya usiku, tatizo ni kuuweka huo upendo kwa mwanamke otherwise awe amekuzimia mwenyewe
aisee mm bado sijampata mjanja wangu, ngoja niyatunze haya maneno kwa faida ya baadayeWeee mbona hata nyie mnapendaga sana tu. Leo unajiona kama hupendi vile, ila ipo siku utapenda hadi wewe mwenyewe utajihisi zwazwa
Teh kila mtu ana mjanja wakeaisee mm bado sijampata mjanja wangu, ngoja niyatunze haya maneno kwa faida ya baadaye