Kipi kiguma kwako

Kipi kiguma kwako

We kiboko aisee [emoji119] sa sijui huwa huzami deep?
kimsingi huwa sipendagi kihivyo hii ni baada ya msichana wangu wa kwanza niliyempenda sana kuniacha kwa dharau kubwa, yaani sijui nilikuwaje nilikuwa nampenda hadi namuogopa, hata game nilikuwa najiuliza kumuomba kumbe ye anahitaji, baadaye akaja kuongea mbovu sana ndo nikajua kumbe inatakiwa iwe hiv, so huwa nachukulia mapenzi kama system tu ambayo lazima uipitie sichukulii kwa undani sijui huko baadaye labda
 
unajisikiaje ukimmwaga mtu?
Mmh Sijawahi kummwaga mtu. Na huwa naomba pia nisifanye kosa la kufanya niachwe, mtu akinimwaga iwe ni kwa sababu zake binafsi au kwa sababu ambazo sina control nazo. Nafikiri Moyo wangu utakuwa na amani sana nikiachwa kuliko kumuacha mtu. Sitamanigi kumuumiza mtu yoyote yule, sema ndo hivyo ubinadamu tena
 
dah i wish the same ila ndo hivyo tena sie wengine tunaongozwa na mijicho yaani mwelu mwelu kama tochi
 
Kuacha hili ni zoezi gumu kwangu... Bora uniache nitajipa moyo na kusonga mbele kuliko nikuache moyo ni utanisumbua mpaka nijikute narudi
 
Kuacha hili ni zoezi gumu kwangu... Bora uniache nitajipa moyo na kusonga mbele kuliko nikuache moyo ni utanisumbua mpaka nijikute narudi
wa kike wote mnasema hivi kuna ukweli hapa au kamba hizi tunafungwa
 
Kuacha hili ni zoezi gumu kwangu... Bora uniache nitajipa moyo na kusonga mbele kuliko nikuache moyo ni utanisumbua mpaka nijikute narudi
Unajua Kila MTU anaogopa kuacha sababu roho itamsuta. Hata mimi bora uniache maana siwezi kuacha
 
Unajua Kila MTU anaogopa kuacha sababu roho itamsuta. Hata mimi bora uniache maana siwezi kuacha
Bora uniache,nitaumia siku2 nitapoa. Kuliko nikuache kesho nikuone na mwingine mko zenu fresh uuh nitaumia sana moyo utanisuta mimi ndio nilimuacha.
 
Bora uniache,nitaumia siku2 nitapoa. Kuliko nikuache kesho nikuone na mwingine mko zenu fresh uuh nitaumia sana moyo utanisuta mimi ndio nilimuacha.
Ngoja nikuulize kitu. Mfano MTU wako amekusaliti anakufanyia mambo ya ajabu. Huwezi kumuacha kisa unaogopa roho itakusuta au?
 
Ngoja nikuulize kitu. Mfano MTU wako amekusaliti anakufanyia mambo ya ajabu. Huwezi kumuacha kisa unaogopa roho itakusuta au?
Ikifika hatua hiyo sina haja ya kuendelea kubaki. Kwasababu yeye ndio atakua amenitengenezea mazingira yakubwaga manyanga.
 
Kuachwa aisee..Tena uachwe ukiwa huna kosa..Hii ni dharau kipeuo cha pili
 
Back
Top Bottom