Thanks mkuu, nimependa hio ya Kanda/production zone..ni kweli hatuwezi collectivelly kulima kwa umoja sababu mazingira tulionayo ni tofauti, 'matunda' Tanga, 'Fishery' pwani, 'Bee-keeping'; Singida na Tabora.. wote tukiwa wazalishaji katika mazingira yetu tutamove on as a nation, sijui haya ya Fishery yanafall under Kilimo?? LOL...
Katika mada hii nimeuliza specific Elimu ya Kilimo ihusu nini,naona umejibu A na B, thanks mkuu........
Hii ya kuchagua mazao machache muhimu naona imejirudia, binafsi naona, tuangalie nini kinahitajika ndio tulime na sio kwamba tulime ndio tuangalie soko linahitaji nini.....kuna mazao Demand yake haikauki kama Kahawa, sema tu hatuna FLOW nzuri ya watendaji,kutoka mkulima mpaka consumers... hapo katikati kuna watu wana interests zao.. very sad