Nelly Mtengwa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 371
- 417
Nimeshawahi kusoma maelezo mengi kuhusu kinachofanya ndege kuelea angani. Lakini nimekuwa nikijiuliza maswali yafuatayo:
-Kipi hufanya ndege kutembea chini wakati hakuna 'shaft' inayozungusha matairi?
-Kama ni force ile ile inayotumika angani ndio hutumika kuifanya ndege itembee ardhini, rivasi inatoka wapi?
Thanks.
-Kipi hufanya ndege kutembea chini wakati hakuna 'shaft' inayozungusha matairi?
-Kama ni force ile ile inayotumika angani ndio hutumika kuifanya ndege itembee ardhini, rivasi inatoka wapi?
Thanks.
......mpe jibu please!