Kipi bora kati ya pesa na furaha?

Kipi bora kati ya pesa na furaha?

Afya ndio nguzo ya kila kitu,

Sasa hivi wewe na Afya mnaitafuta hela ila baadae wewe na hela mtaitafuta afya.
 
.
 

Attachments

  • images (21).jpeg
    images (21).jpeg
    9.6 KB · Views: 2
Ndio shida yako hiyo..,😏😏 mpe kaisari yaliyo yake, yake, God already left Africa.
 
Hilo nishaliona sana kwa watu wenye pesa
Mzee wangu ana kauli moja huniambiaga,uwe na maisha kiasi

Ova
Hii kauli ipo sahihi kabisa ila ni ngumu kueleweka kwa mtu ambaye hana hela,
Wengi wao huamini akipata hela basi ndio maisha na hata kua na shida yeyote ile.
 
Afya ndio nguzo ya kila kitu,

Sasa hivi wewe na Afya mnaitafuta hela ila baadae wewe na hela mtaitafuta afya.
Afya ndio kila kitu naunga mkono 💯

Nilijua hilo Kuna siku nilikamatwa na maradhi nakaa ndani tu miguu ninayo , sikutamaninkabisa pesa wakati huo niliitamani nipate kaahueni nikacheze hata chandimu . Siku hiyo nilijua umuhimu wa afya kwani hata vyakula vilikuwa havipandi .

Afya kitu kingine kabisa hakuna furaha afya ikiwa mgogoro bora uwe kapuku wa kawaida kuliko kuwa afya mgogoro
 
Afya ndio kila kitu naunga mkono 💯

Nilijua hilo Kuna siku nilikamatwa na maradhi nakaa ndani tu miguu ninayo , sikutamaninkabisa pesa wakati huo niliitamani nipate kaahueni nikacheze hata chandimu . Siku hiyo nilijua umuhimu wa afya kwani hata vyakula vilikuwa havipandi .

Afya kitu kingine kabisa hakuna furaha afya ikiwa mgogoro bora uwe kapuku wa kawaida kuliko kuwa afya mgogoro
Mnachanganya Afya mnaiweka katika kundi la furaha

Afya ni moja ya kichochezi cha furaha kama ilivyo pesa

Afya na pesa wapo kundi moja furaha ipo kundi lingine

Furaha ni mjumuiko wa vitu vingi katika maisha ya mwanadamu mwingine akiwa na kichochezi kimoja tu (Afya mfano) anafurahi mwingine hadi vichochezi vyote vienee yani awe mzima, awe na pesa, awe na mahusiano mazuri, awe na watoto, anenepe na material things zote (full package) ya maisha ndio mtu huyo apate furaha sasa

Kuna mwingine kichochezi kimoja tu akikikosa ( mapenzi mfano) hata awe na vichochezi vingine vyote hana furaha

Kwangu mimi furaha inakujaga tu automatic niwe na kitu nisiwe nacho (hasa material things) nafurahi tu
 
Afya ndio kila kitu naunga mkono 💯

Nilijua hilo Kuna siku nilikamatwa na maradhi nakaa ndani tu miguu ninayo , sikutamaninkabisa pesa wakati huo niliitamani nipate kaahueni nikacheze hata chandimu . Siku hiyo nilijua umuhimu wa afya kwani hata vyakula vilikuwa havipandi .

Afya kitu kingine kabisa hakuna furaha afya ikiwa mgogoro bora uwe kapuku wa kawaida kuliko kuwa afya mgogoro
Afya+uzima mambo mengine badaye

Ova
 
Hii kauli ipo sahihi kabisa ila ni ngumu kueleweka kwa mtu ambaye hana hela,
Wengi wao huamini akipata hela basi ndio maisha na hata kua na shida yeyote ile.
Kabisa,si ushawahi kuona mtu anapata pesa lakini pesa hizo hizo ndiyo zinamtesa

Ova
 
Kufunga ni kujinyima kwa hiyari, usifananishe na njaa ya kukosa chakula.
Yes ni hiari ila Ile njaa alionayo mtu aliefunga ni real kabisa yani tumbo linasokota hasa na bado ana furaha

Hata ukikosa chakula vile vile unaweza kuwa na furaha hasa ukiamua kutofanya blame shifting

Mwingine akikosa kidogo tu lawama ni kwa MUNGU, mwingine analaumu ndugu na jamaa ukiwa mtu wa hivyo huwezi kuwa na furaha
 
Yes ni hiari ila Ile njaa alionayo mtu aliefunga ni real kabisa yani tumbo linasokota hasa na bado ana furaha

Hata ukikosa chakula vile vile unaweza kuwa na furaha hasa ukiamua kutofanya blame shifting

Mwingine akikosa kidogo tu lawama ni kwa MUNGU, mwingineanalaumu ndugu na jamaa ukiwa mtu wa hivyo huwezi kuwa na furaha
Mkuu kufunga sio kukosa chakula,mtu aliyefunga ni tofauti na mtu mwenye njaa ambaye hana chakula,

Aliyefunga ana uhakika muda wa kufuturu ukifika atakula,so anakua na hope,ni tofauti na mwenye njaa ambaye hajui kula yake kama ataipata lini au saa ngapi,sometimes hope inaweza kukupa ahueni kuliko mtu asiyekua na hope.
 
Mkuu kufunga sio kukosa chakula,mtu aliyefunga ni tofauti na mtu mwenye njaa ambaye hana chakula,

Aliyefunga ana uhakika muda wa kufuturu ukifika atakula,so anakua na hope,ni tofauti na mwenye njaa ambaye hajui kula yake kama ataipata lini au saa ngapi,sometimes hope inaweza kukupa ahueni kuliko mtu asiyekua na hope.
Ukiamua kuwa responsible kwa kukosa chakula kwako huwezi kukosa furaha ndani yako utakosa furaha pale tu utakapo laumu wengine kwa ukosaji wako wa chakula

Ukikosa kitu ni kwasababu zilizo ndani yako sio Mungu, Serikali ndugu au rafiki be responsible utakuwa na furaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom